technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Hii nchi ni ngumu sana kuielewa Sukari kutoka Zambia inauzwa 2000-2200 lakini cha kushangaza wanashindwa kuweka utaratibu wa Sukari kuingia.
Wanawakamata wateja ambao wameshanunua Sukari wakiwa ndani ya Tanzania.
Yaani unamkamata mtu kisa kabeba kilo moja ya Sukari kwenye basi? Hivi tuna serikali kweli hapa?
Sasa unajiuliza tunakwama wapi? Serikali ipo imeshindwa kutoa ruzuku kwenye viwanda vya ndani angalau sukari ipatikane kwa 1800?
Kama Sukari haitoshelezi mahitaji kwanini viwanda vya ndani visiagize vyenyewe Sukari na kuuza bei ya around 2000?
Inakuwaje Sukari kutoka nje inakuwa na bei ndogo halafu ya ndani inakuwa na bei kubwa tuna tatizo kama nchi inaonyesha hatuwezi biashara.
Haya ndio mambo sasa serikari inatakiwa kuyafanyia kazi.
Kama mambo yanayowahusu wananchi wa chini serikali haiwezi kuyafanyia kazi.
Basi hatuna serikali.
Wanawakamata wateja ambao wameshanunua Sukari wakiwa ndani ya Tanzania.
Yaani unamkamata mtu kisa kabeba kilo moja ya Sukari kwenye basi? Hivi tuna serikali kweli hapa?
Sasa unajiuliza tunakwama wapi? Serikali ipo imeshindwa kutoa ruzuku kwenye viwanda vya ndani angalau sukari ipatikane kwa 1800?
Kama Sukari haitoshelezi mahitaji kwanini viwanda vya ndani visiagize vyenyewe Sukari na kuuza bei ya around 2000?
Inakuwaje Sukari kutoka nje inakuwa na bei ndogo halafu ya ndani inakuwa na bei kubwa tuna tatizo kama nchi inaonyesha hatuwezi biashara.
Haya ndio mambo sasa serikari inatakiwa kuyafanyia kazi.
Kama mambo yanayowahusu wananchi wa chini serikali haiwezi kuyafanyia kazi.
Basi hatuna serikali.