Killi Awards yaingiliwa na BASATA kuchagua Majaji

Killi Awards yaingiliwa na BASATA kuchagua Majaji

mbongopopo

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2008
Posts
1,611
Reaction score
764
Hii imeandikwa instagram na Le Mutuz aliyepata mtonyo kuwa TBL wameambiwa wakae pembeni. Inabidi usome viambatanyisho hapa kupata habari zaidi

1434121796345.jpg 1434121816824.jpg

Hii inasikitisha kuwa BASATA wanafanya haya mambo. Ni kweli majaji hawatakiwi kuwa na ukaribu wowote na wasanii wanaoshiriki.

Inabidi wafikirie tena hao KILI awards kwa kuachia haya mambo yafanyike kwa kutumia jina lao na kukubali haya.
 
Kwani ushindi unatokana na majaji au kura tunazopiga sisi

#justasking

Na mimi pia nimeshangaa ila inaelekea na kwa tuzo za watu waliweka majaji wa kumalizia kupanga kura za wananchio.

Hao majaji sita wa kili pia labda mtu atatuambia kwanini wanakuwepo kufanya hivyo na kupotezea yote yaliyofanywa na wapigaji kura.
 
Kama kura za wananchi ndio zinazohesabiwa, kuna haja gani ya kuwa na majaji???
 
KTMA itapoteza mvuto kisa uoga wa wadau maana kila mtu analeta nadharia zake kiasi kwamba washindi watachukuliwa kama wanyang'anyi tu siamini kua kuna njama za kumuangusha Diamond unless anajua kua hilo linafanyika na itakua wazi na yeye amewahi kutumia mlango huo wa dhuluma maana izi kelele kua atapewa fulani zonaonyesha kumbe kupewa fulani bila sifa inawezekana na hii ni ile MWIZI NI MUOGA SANA KUIBIWA.

Ila na uyu babu siku si nyingi atavaa pichu kichwani maana anapiga kelele kama kichaa akiamka tu anazua jambo ili apate tu attention ya watu na kule IG ndio kama dampo la vilaza.

All the best kwa wasanii wote kuwa nominated tu inaonyesha uwezo mnao acheni hizi fitna za mamluki na wengine uzee unawapa wehu.
 
hivi diamond ni level za tuzo za tanzania kweli??

sio mpenz wa mziki wake sana.. lakino ukweli nauona level anazokwenda ni kubwa sana na sana toka nchi imepata uhuru haijatokea msanii wa kitanzania kufika hizo level
 
Diamond Diamond nyota yakooo Chibu. Umuhimu jiingizie pesa zako

Sio wale wanaopanda ndege na kuomba wapige picha kwenye class za juu waturushie kuwa ndivyo walivyosafiri huku pesa haziingii kabisa, wanarusha picha kudanganya wanaowadanganya. Ila ya kusafiri kali hivi watu hawajuagi wa TZ wapo kila sehemu?
 
Kama hizi tuhuma ni za kweli, then sanaa ya Tanzania inauliwa na Basata. Basata inapaswa kusimamia na si kujihusisha moja kwa moja na shughuli hiyo. Hivi ikitokea tatizo, nani atasimama katikati kama msuluhishi? Taasisi ambayo wasanii wanapaswa kwenda kupeleka malalamiko yao eti ndiyo inakuwa mstari wa mbele kuvuruga wasanii. Huu ni upuuzi wa hali ya juu. Hii taasisi ilipaswa iwe mstari wa mbele katika kusimamia haki ili kutengeneza wasanii wengi watambulike kimataifa na kuiletea heshima nchi yetu. Bahati mbaya hii taasi inakubali kutumika katika kuua vipaji vya wasanii, mambo ya kipuuzi kabisa.
 
ktma ya mwaka huu ni waalikwa tu?le mutuz atakuwa hajaalikwa ndo maana kawa mkali
 
Ameandika magazeti matatu lemutuz nasubiria jina

Na imajini Diamond angeamua kwenda na Zari kwenye KTMA mbona wangefunika tukio hiloooo

Watu wangesahau kilichowapeleka
 
Back
Top Bottom