Nimefurahia hawa wloimba Taarabu za zamani
1. Jamani mapenzi yananitatiza eeeh
kulala siwezi chakula sitaki akiona sumu . .
Hiki ndo kimenigusa.
ewe njiwa ewe njiwa peleka salamuuuu kwa yulee kwa yuleee.............
Anyway mapenzi yanakutatiza kongosho?
Jonii jonii mie, dunia imenitenga, chanzo cha mateso ni kufariki baba na mama.
Ukiona mtu mzima analia mbele za watu ujue kuna jambo.
Ama kweli baba na mama ni nguzo duniani leo hawapo tumesambaratika.
Tunaimba huku tunalia, ee M/Mungu, tunakuomba, tushike mikono utuinue, tunalia kwa uchungu.
Yarabi tupe salama, safari yetu, tuepushe na majanga, yanayotukabili.
Tumekua watu wa kuandamwa, na maadui, kosa letu hatulijui, yarabi mola, tusaidie.
......
Vp na hii imepigwa? Naihusudu sana.
Ndio, yaani niko nasakata mbele ya watoto hawana mbavu.
Usipate taaaaaaaaabu Neeeeema, uliyoyafanya si mageni hapa dunianieeeeh
Eva nimelibeba pendo lako kama mwana na mbeleko.
Nina kukwambia mchana usiku silali natafuta pesa
ili tuishi vizuri na kijenga familia bora yenye thmani na penzi
Eva oooh Eva imekuwaje Eva
Eva oooh Eva nielezeee oooh
Ninapokuuliza hutaki kusema na mimi, ninapokuuliza wewe unanuna nuna.
Iviii..! ts true dat kwamba diomond ana stahili awards tatuuu?.. Mi siamini hilo..kwamfano kwenye mwandishi bora fid ni best writer every one anajua hilo; lakini hakwepo kwenye category ya mwandishi bora..nyimbo ya jide ni best video zaidi ya moyo wangu ukiangalia location na quality but kachukua diamond halafu wasanii ni walewale kwenye kila category watanzania hatuoni au tunashabikia tu mapenzi na msanii..ni hayo tu! Thts wat i think!
Unaharibu nyimbo zetu, si Eva bali ni Hiba. Kazi ya Sikinde hiyo ikiimbwa na super stereo Bitchuka ndani ya mwaka 1984..