MWONA MBALI
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 460
- 610
sijaendelea kusoma , sasa hiki ni kilio cha mwalimu mmoja halafu akawakilisha wenzake pengine wadarasa moja wa shule moja, wa wilaya moja ya mkoa mmoja, Baba askofu unazingua ujue .....
Acha utoto wa Facebook hapa ni jamii forum where we dare to talk openly ,,ELEZA hapa Mada iwe " Jinsi gani walimu wanashiriki wizi wa kura!.. sio unajibu kihuni kihuni kama unaongea na wavuta bangi wenzio,, Jenga hoja kujibu hoja!.. Eti na hawa ndo VIJANA tunao wategemea walete mabadiliko!... I bet huna unachokijua ila unajiveka ujuaji so what? wabongo bana?.Ujui kitu pita kushoto
Relax bro!.. hebu tueleze kidogo tu Jinsi hizo kura zinavyoibiwa?...Safi sana...yaache yapigike maalimu...yenyewe ndio yametumika sana kuwaweka watawala madarakani..kupitia wizi wa Kura Kwa viapo...wacha yapigike..na Bado..
Kama ujui zinavyoibiwa endelea kutojua,Acha utoto wa Facebook hapa ni jamii forum where we dare to talk openly ,,ELEZA hapa Mada iwe " Jinsi gani walimu wanashiriki wizi wa kura!.. sio unajibu kihuni kihuni kama unaongea na wavuta bangi wenzio,, Jenga hoja kujibu hoja!.. Eti na hawa ndo VIJANA tunao wategemea walete mabadiliko!... I bet huna unachokijua ila unajiveka ujuaji so what? wabongo bana?.
Unaonekana mtupu hujui CHOCHOTE zaid ya kugeuka kasuku,,,,Kama ujui zinavyoibiwa endelea kutojua,