Angalia huyu askofu asikufanye kama mtoto wa Zari, maana kila siku unaleta upuuzi wake JF
Mmh!Angalia huyu askofu asikufanye kama mtoto wa Zari, maana kila siku unaleta upuuzi wake JF
Una mtoto au mtoto wa ndugu yako anasoma shule?Waalimu walisaidia katika wizi wa kura,kwa hiyo acha wakione cha mtemakuni!
Mtoto wangu anasomea ualimu lakini hilo halihalalishi kuwa wizi wa kura ni halali na akija kushiriki kwenye wizi huo anatakiwa akipate cha mtemakuni pia!Una mtoto au mtoto wa ndugu yako anasoma shule?
Na vipi kuhusu wadogo zetu waliohitimu vyuo tangu mwaka 2015 hawajaajiriwa mpaka wanaanza kuzeeka?KILIO CHA WAALIMU NCHINI TANZANIA!
Nimepokea waraka kutoka kwa mmoja wa waalimu akiwawakilisha waalimu wenzake. Kwa sababu za unyeti wa maudhui ya waraka huo, kiapo changu cha Uaskofu kinaniruhusu kutokutaja jina la mtu aliyeniletea! Nimeamua kuuchapa waraka huo katika ukurasa wangu ili kusaidia kilio cha waalimu kuwafikia wahusika na jamii kwa ujumla!
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula - Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki
"Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!
Heri ya Mwaka Mpya 2021. Nataka nikueleze kuhusu kilio cha walimu wa Tanzania kwa sasa.
Kilio kikubwa cha walimu ni madaraja. Kama unavyofahamu, mishahara katika Utumishi wa Umma haijaongezwa kwa miaka 5 iliyopita, hivyo tegemeo kubwa la walimu ni kupanda madaraja lakini nako ni kugumu.
Mathalani, wako walimu wa ajira mpya wa mwaka 2014, hawa ilikuwa wapande madaraja mwaka 2019 (mwaka 1 probabation +miaka 4 ya kutumikia cheo). Wapo walimu waliopanda madaraja 2015, hawa walipaswa kupanda 2019 baada ya kutumikia cheo kipya kwa miaka 4 lakini hawajapanda na hakuna dalili za kuwapandisha.
Chama cha Walimu (CWT) kipo kimya, hakuna wa kuwasemea Walimu wa Tanzania. Walimu nao wapo kimya, wanaogopa. Utumishi wa Umma umekuwa mzigo mzito ndani ya awamu hii ya uongozi. Naomba Baba Askofu, lizungumzie hili jambo pengine wenye mamlaka watasikia na kutendea kazi!
Ni mimi Mwalimu."
😁😁😁😁vipi maandamano ya amani ulitoka au ulikimbilia uvunguni?Kama ulijificha uvunguni ulikua unaogopaNi seme kweli hakuna watu wanafiki Kama walimu wa nchi hii ...Kuna msemo unasema KARMA IS A BITCH..
sikuona sababu ya kuandamana😁😁😁😁vipi maandamano ya amani ulitoka au ulikimbilia uvunguni?Kama ulijificha uvunguni ulikua unaogopa
walimu wanatia aibu wao muda wote ni kulia lia tu, hivi walilazimishwa kusomea ualimu kama walikua hawaupendi.KILIO CHA WAALIMU NCHINI TANZANIA!
Nimepokea waraka kutoka kwa mmoja wa waalimu akiwawakilisha waalimu wenzake. Kwa sababu za unyeti wa maudhui ya waraka huo, kiapo changu cha Uaskofu kinaniruhusu kutokutaja jina la mtu aliyeniletea! Nimeamua kuuchapa waraka huo katika ukurasa wangu ili kusaidia kilio cha waalimu kuwafikia wahusika na jamii kwa ujumla!
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula - Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania & Afrika Mashariki
"Mpendwa Baba Askofu Mwamakula!
Heri ya Mwaka Mpya 2021. Nataka nikueleze kuhusu kilio cha walimu wa Tanzania kwa sasa.
Kilio kikubwa cha walimu ni madaraja. Kama unavyofahamu, mishahara katika Utumishi wa Umma haijaongezwa kwa miaka 5 iliyopita, hivyo tegemeo kubwa la walimu ni kupanda madaraja lakini nako ni kugumu.
Mathalani, wako walimu wa ajira mpya wa mwaka 2014, hawa ilikuwa wapande madaraja mwaka 2019 (mwaka 1 probabation +miaka 4 ya kutumikia cheo). Wapo walimu waliopanda madaraja 2015, hawa walipaswa kupanda 2019 baada ya kutumikia cheo kipya kwa miaka 4 lakini hawajapanda na hakuna dalili za kuwapandisha.
Chama cha Walimu (CWT) kipo kimya, hakuna wa kuwasemea Walimu wa Tanzania. Walimu nao wapo kimya, wanaogopa. Utumishi wa Umma umekuwa mzigo mzito ndani ya awamu hii ya uongozi. Naomba Baba Askofu, lizungumzie hili jambo pengine wenye mamlaka watasikia na kutendea kazi!
Ni mimi Mwalimu."