Mnayajua magamba ninyi! Karibia na uchaguzi yatashusha bei baada ya kuwakamua. Mliyachagua wenyewe pateni cha moto...hasa ninyi mlioko dar.
eura walikosea wangepiga 100% unajua wakuu hakuna nchi rahisi kuongoza kama Tanzania.
kuna mama alikuwa analalamika kwenye hiace nauli zilivyopanda 400 nikasema kwa nguvu kwanini wasingefanya 1000 ili na makonda wasipate shida ya chenji,mama alinicheki kwa hasiraaa.
nikamwambia ukiambiwa andamana utakubali?
Asante kwa Matusi lakini ukweli ni huo kuwa Maisha ni Magumu na Tunachopata leo kina liwa leoleo.
So nikipata La Kumi leo basi ndio nannunua umeme, Nikikosa mwendo wa Giza na Fanilia ipo kama kawa na Inadunda.
Sijuhi wewe ndugu yetu wakwenye Apartment unaijua bei ya Umeme?
we dada unaishi Tz au? mimi pia nimenunua umeme wa sh 10,000 nimepata units 8.7, hakuna deni la zamani hapo. hiyo fixed amount huwa inakatwa (kama servise charge) kila mwanzo wa mwezi unaponunua umeme kwa mara ya kwanza. lililopo, fixed amount imepanda na price per unit imepanda pia.
fixed amount (service charge) + kodi inafika shs 6700 kwa sasa. ukilipa hiyo ndio unaanza kununua units za umeme
Bei ya umeme ni jambo linalowahuzunisha na kuwatia hasira wananchi. Na hasira zao watazionesha kwenye sanduku la kura. Uchaguzi wa 2014 utakua mgumu sana kwa CCM. Kinana usishughulikie mawaziri mizigo tu, shughulikieni na mashirika mizigo.
hii risiti ya umeme wa Tshs. 10,000. nimepata units 8.7kWh. Zamani nilikuwa nikipata units 18kWh, sasa hata nusu haifiki.
tunaelekea wapi?
View attachment 130010
Mimi ningependa upande zaidi..simu ile kodi ya buku iwe per day..eura walikosea wangepiga 100% unajua wakuu hakuna nchi rahisi kuongoza kama Tanzania.
kuna mama alikuwa analalamika kwenye hiace nauli zilivyopanda 400 nikasema kwa nguvu kwanini wasingefanya 1000 ili na makonda wasipate shida ya chenji,mama alinicheki kwa hasiraaa.
nikamwambia ukiambiwa andamana utakubali?
Ni kweli unachosema lakini chama gani mbadala wa CCM?
Sasa ulitaka usilipe service charge? umeshafikiria gharama za usafiri na muda ulizopunguziwa kwenda kulipia bill yako TANESCO kila mwezi?
Kwa nini unasema hivyo mangi? Ingekuwa kweli asingehangaika namna hiyoJamani rasimu ya katiba kwa masharti ya mgombea uraisi, EL yukko nje kabisa. Hana sifa za kugombea Uraisi hata kidogo.
Tiba
dada unapenda sana ligi a.k.a ubishani,
nilikuwa najibu comment yako uliyosema kwamba fixed amount ni madeni ya nyuma, nikakwambia hiyo ni service charge ambayo customer analipa kila mwanzo wa mwezi anaponunua umeme for the first time, na kwa sasa inafika Tshs 6700
pia, sijasema kwamba mtu asilipe service charge, nimesema both, service charge na price per unit zimeongezeka.
nimeongea facts bila kuleta ushindani kama unavyotaka wewe. it's up to you, kuzikubali au kuzikataa
Mwenye biashara ya kuuza soda atawasha fridge kweli auze kwa bei ya sasa?
Hapo una deni la zamani, hizo fixed amount, umeme ulionunuwa ni huo 2,676.72 tu.