Kilio cha Kigwangala

Kilio cha Kigwangala

Katika siku ambazo umeandika ukweli ni leo. Na ndiyo maana nchi iko hapa ilipo. Mtu kama Abdul akiku-mind hata kama wewe ni kiongozi mzuri vipi basi utaondolewa. Kigwangala ni wale wale tu hana tofauti na Makonda au Kibajaji shinda ni kuwa ametupwa nje ya ulaji. Mpaka nchi itakapota viongozi wazuri na siyo mazuzu kama Samia ndiyo tunatatoka hapa tulipo.
Mimi huwa naandika ukweli siku zote ila kwa sababu wewe ni muumini wa kudanganywa ndo maana huamini ninachoandika. Ukiacha kuwa mpumbavu utakuwa unazielewa nyuzi zangu.
 
Huyu jamaa ni mpenda mikopo hatari.. nakumbuka alizinguana na Mo Dewji ishu za mkopo wa pikipiki. Mimi ninamshauri akae tu kimya atazoea. Akubali kuwa system imemkataa. Kila nikikumbuka alivyowarusha kichura watu wazima naona ni sahihi na yeye kuchanganyikiwa sasa hivi.
DAh nilikuwa kwenye mood mbaya ila umenirudisha kwenye furaha sana kwa hilo tukio la wazee kuchuchumaa mpaka wakawa wanapepesuka
 
Ila to be honest hakuna kitu kilikuwa kinaniuma kama kumuona huyu jamaa amechukua fomu ya kugombea urais na ukijumlisha akili za wajumbe nilikuwa natetemeka tu maana wajumbe hawatabiriki wanaweza kumpitisha hata kichaa
 
Mwandishi ni mtu wa karibu wa mlalamikaji

Nimesikiliza video ya Mh Kigwangwala nimecheka sana

Huyu alikua Rafiki yangu sana kabla hajawa Waziri. Hata alipokuja London mimi ndio nilikua mwenyeji wake na nilimpokea kwa heshima sana yeye na kamati ya Bunge aliyokua akiongoza

Alipoteuliwa kua Waziri Wizara ya Afya mimi wakati huo nilikua namuuguza Mama Mkwe wangu aliekua akiumwa Ugonjwa wa Kansa. Kwa uchovu wangu nilikua nashindwa kupata kitanda pale Ocean road hivyo nikampigia simu kumuomba msaada nipate kitamda ili Mama Mkwe wangu ahamishiwe pale kutoka Muhimbili. Huwezi amini huo ndio ulikua mwisho wa mawasiliano yetu na akanipiga bloku. Iliniuma ila nikapotezea nikakomaa kigumu kuugua mgonjwa wangu

Jamaa alipotumbuliwa mara ghafla akaanza kunitafuta. Mimi sijawahi mbloku ila hua sijibu simu wala meseji sababu naogopa nitampa ukweli wake

Najua inamuuma sasa kwa sababu hajui na sasa anajua, ila hii ndio tabia ya Wanasiasa wengi wakiishateuliwa hua wanapotezea marafiki na kuwaona kama nuksi.

Anyway. CHEO NI DHAMANA. What goes around comes around …

View attachment 3573616
A friend in need, is the friend indeed.
 
Mwandishi ni mtu wa karibu wa mlalamikaji

Nimesikiliza video ya Mh Kigwangwala nimecheka sana

Huyu alikua Rafiki yangu sana kabla hajawa Waziri. Hata alipokuja London mimi ndio nilikua mwenyeji wake na nilimpokea kwa heshima sana yeye na kamati ya Bunge aliyokua akiongoza

Alipoteuliwa kua Waziri Wizara ya Afya mimi wakati huo nilikua namuuguza Mama Mkwe wangu aliekua akiumwa Ugonjwa wa Kansa. Kwa uchovu wangu nilikua nashindwa kupata kitanda pale Ocean road hivyo nikampigia simu kumuomba msaada nipate kitamda ili Mama Mkwe wangu ahamishiwe pale kutoka Muhimbili. Huwezi amini huo ndio ulikua mwisho wa mawasiliano yetu na akanipiga bloku. Iliniuma ila nikapotezea nikakomaa kigumu kuugua mgonjwa wangu

Jamaa alipotumbuliwa mara ghafla akaanza kunitafuta. Mimi sijawahi mbloku ila hua sijibu simu wala meseji sababu naogopa nitampa ukweli wake

Najua inamuuma sasa kwa sababu hajui na sasa anajua, ila hii ndio tabia ya Wanasiasa wengi wakiishateuliwa hua wanapotezea marafiki na kuwaona kama nuksi.

Anyway. CHEO NI DHAMANA. What goes around comes around …

View attachment 3573616
Laana ya kumtelekeza Baba bado inakutafuna.
 
downloadfile.jpg
 
Back
Top Bottom