Kilio cha Kigwangala

Kilio cha Kigwangala

Hamis alijisahau. Kwenye hizi wizara kuna watu hawana umaarufu wala elimu kubwa ila wanaweza battle na waziri na huyo waziri akang'oka.
Katika siku ambazo umeandika ukweli ni leo. Na ndiyo maana nchi iko hapa ilipo. Mtu kama Abdul akiku-mind hata kama wewe ni kiongozi mzuri vipi basi utaondolewa. Kigwangala ni wale wale tu hana tofauti na Makonda au Kibajaji shinda ni kuwa ametupwa nje ya ulaji. Mpaka nchi itakapota viongozi wazuri na siyo mazuzu kama Samia ndiyo tunatatoka hapa tulipo.
 
Mbona huu jamaa alikuwa tajiri? Nini kimejiri mpaka aanze kulialia hivi? Ana chuo cha VETA, ana kiwanda cha kuchakata pamba, ana kiwanda pia cha kuchakata mpunga sasa shida ni nini hasa? Anajidhalilisha aisee!
Miradi mingi inashindwa kujiendesha
 
Umesema kwa uchungu sana mkuu. Kuna la kujifunza hapa.
Good kwamba amekuwa honest na ame-share huu uzoefu, japo ni kitu obvious.

Kinachonishangaza ni kwamba nje ya ubunge, nje ya uwaziri wengine huwa honest na kuonyesha 'utu' nk. Ni huyu huyu Hamisi ndio alinyanyasa watu na vitisho tele akiwa pale wizara ya maliasili.
 
Mwandishi ni mtu wa karibu wa mlalamikaji

Nimesikiliza video ya Mh Kigwangwala nimecheka sana

Huyu alikua Rafiki yangu sana kabla hajawa Waziri. Hata alipokuja London mimi ndio nilikua mwenyeji wake na nilimpokea kwa heshima sana yeye na kamati ya Bunge aliyokua akiongoza

Alipoteuliwa kua Waziri Wizara ya Afya mimi wakati huo nilikua namuuguza Mama Mkwe wangu aliekua akiumwa Ugonjwa wa Kansa. Kwa uchovu wangu nilikua nashindwa kupata kitanda pale Ocean road hivyo nikampigia simu kumuomba msaada nipate kitamda ili Mama Mkwe wangu ahamishiwe pale kutoka Muhimbili. Huwezi amini huo ndio ulikua mwisho wa mawasiliano yetu na akanipiga bloku. Iliniuma ila nikapotezea nikakomaa kigumu kuugua mgonjwa wangu

Jamaa alipotumbuliwa mara ghafla akaanza kunitafuta. Mimi sijawahi mbloku ila hua sijibu simu wala meseji sababu naogopa nitampa ukweli wake

Najua inamuuma sasa kwa sababu hajui na sasa anajua, ila hii ndio tabia ya Wanasiasa wengi wakiishateuliwa hua wanapotezea marafiki na kuwaona kama nuksi.

Anyway. CHEO NI DHAMANA. What goes around comes around …

View attachment 3573616
 
Ogopa Mungu na tech😂
Saa hizi anayo kampeni ya kufuta tweets zake fulani ambazo kwa wakati huo aliandika akiwa kwenye meza iliyojaa vyakula zilijaa dharau na majigambo sasa anaona zitamhukumu hivyo kafuta tweeta nyingi sana.
 
Saa hizi anayo kampeni ya kufuta tweets zake fulani ambazo kwa wakati huo aliandika akiwa kwenye meza iliyojaa vyakula zilijaa dharau na majigambo sasa anaona zitamhukumu hivyo kafuta tweeta nyingi sana.
Hataweza kuzimaliza zote watu wanazo tayari
 
Mwandishi ni mtu wa karibu wa mlalamikaji

Nimesikiliza video ya Mh Kigwangwala nimecheka sana

Huyu alikua Rafiki yangu sana kabla hajawa Waziri. Hata alipokuja London mimi ndio nilikua mwenyeji wake na nilimpokea kwa heshima sana yeye na kamati ya Bunge aliyokua akiongoza

Alipoteuliwa kua Waziri Wizara ya Afya mimi wakati huo nilikua namuuguza Mama Mkwe wangu aliekua akiumwa Ugonjwa wa Kansa. Kwa uchovu wangu nilikua nashindwa kupata kitanda pale Ocean road hivyo nikampigia simu kumuomba msaada nipate kitamda ili Mama Mkwe wangu ahamishiwe pale kutoka Muhimbili. Huwezi amini huo ndio ulikua mwisho wa mawasiliano yetu na akanipiga bloku. Iliniuma ila nikapotezea nikakomaa kigumu kuugua mgonjwa wangu

Jamaa alipotumbuliwa mara ghafla akaanza kunitafuta. Mimi sijawahi mbloku ila hua sijibu simu wala meseji sababu naogopa nitampa ukweli wake

Najua inamuuma sasa kwa sababu hajui na sasa anajua, ila hii ndio tabia ya Wanasiasa wengi wakiishateuliwa hua wanapotezea marafiki na kuwaona kama nuksi.

Anyway. CHEO NI DHAMANA. What goes around

Umenikumbusha story moja

2018 uncle aliniita msalato nikapige nyama. Kufika nikakuta vijana wengine na crew ya wazee wa heshima. Nikatambulishwa among them alikuepo marehemu Dr Chacha. Aliwahi kushika nyadhifa ya uwaziri na that time namjua alikua ameshatumbuliwa uwaziri akawa lecture pale St John’s

Baada ya pale kuna jamaa nikazoeana nae.. akaja nipa story kua Dr Chacha baada ya kuupata uwaziri aliwadamp washikaji zake wote even his familiy.. akawa hataki mazoea. Baada ya kutumbuliwa akarejesha ushkaji ata iyo kazi pale St Johns akina Uncle ndo wamemuunga.

The time I know him alikua very humble, anatembelea zake Verosa ukipiga nae story ni mtulivu sana.
 
Ameongea kinyonge sana
Syo hamis yule tunayemjuwa mzee wa majivuno
Au anatafuta sympathy ya raia 😄

Ova
Ila ana akili ndogo sana huyu jamaa angekaa kimyq tusingejua upumbavu wake
 
Huyu watu wake wengi wa karibu aliwatupa alipokuwa kwenye channel 😄
Hajuwi mtaji ni watu

Ova
Yaani akae kwa kutulia wakati wa jiwe wenzake wakipitishwa kwenye tanuru la moto yeye alikuwa chamdeko
 
Back
Top Bottom