Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 363,877
- 839,479
Mwandishi ni mtu wa karibu wa mlalamikaji
Nimesikiliza video ya Mh Kigwangwala nimecheka sana
Huyu alikua Rafiki yangu sana kabla hajawa Waziri. Hata alipokuja London mimi ndio nilikua mwenyeji wake na nilimpokea kwa heshima sana yeye na kamati ya Bunge aliyokua akiongoza
Alipoteuliwa kua Waziri Wizara ya Afya mimi wakati huo nilikua namuuguza Mama Mkwe wangu aliekua akiumwa Ugonjwa wa Kansa. Kwa uchovu wangu nilikua nashindwa kupata kitanda pale Ocean road hivyo nikampigia simu kumuomba msaada nipate kitamda ili Mama Mkwe wangu ahamishiwe pale kutoka Muhimbili. Huwezi amini huo ndio ulikua mwisho wa mawasiliano yetu na akanipiga bloku. Iliniuma ila nikapotezea nikakomaa kigumu kuugua mgonjwa wangu
Jamaa alipotumbuliwa mara ghafla akaanza kunitafuta. Mimi sijawahi mbloku ila hua sijibu simu wala meseji sababu naogopa nitampa ukweli wake
Najua inamuuma sasa kwa sababu hajui na sasa anajua, ila hii ndio tabia ya Wanasiasa wengi wakiishateuliwa hua wanapotezea marafiki na kuwaona kama nuksi.
Anyway. CHEO NI DHAMANA. What goes around comes around …
Nimesikiliza video ya Mh Kigwangwala nimecheka sana
Huyu alikua Rafiki yangu sana kabla hajawa Waziri. Hata alipokuja London mimi ndio nilikua mwenyeji wake na nilimpokea kwa heshima sana yeye na kamati ya Bunge aliyokua akiongoza
Alipoteuliwa kua Waziri Wizara ya Afya mimi wakati huo nilikua namuuguza Mama Mkwe wangu aliekua akiumwa Ugonjwa wa Kansa. Kwa uchovu wangu nilikua nashindwa kupata kitanda pale Ocean road hivyo nikampigia simu kumuomba msaada nipate kitamda ili Mama Mkwe wangu ahamishiwe pale kutoka Muhimbili. Huwezi amini huo ndio ulikua mwisho wa mawasiliano yetu na akanipiga bloku. Iliniuma ila nikapotezea nikakomaa kigumu kuugua mgonjwa wangu
Jamaa alipotumbuliwa mara ghafla akaanza kunitafuta. Mimi sijawahi mbloku ila hua sijibu simu wala meseji sababu naogopa nitampa ukweli wake
Najua inamuuma sasa kwa sababu hajui na sasa anajua, ila hii ndio tabia ya Wanasiasa wengi wakiishateuliwa hua wanapotezea marafiki na kuwaona kama nuksi.
Anyway. CHEO NI DHAMANA. What goes around comes around …