MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,194
Safi sana, tatizo kubwa miongoni mwa watanzania ni kuogopa KUTHUBUTUMwaka Jana nimelima heka moja ya vitunguu na jumla gharama nilitumia 1,700,000/= nikafanikiwa kupata gunia 72 ambayo kila gunia niliuza kwa 90,000/= sawa na tsh 6,480,000/= ukitoa gharama zangu unapata baki ya tsh 4,780,000/= Nilipotoa gharama zangu zote nyingine kama usafiri na chakula nilipokuwa shamba nikabakiwa na 4,300,000/= Nilitumia miezi minne mpaka kuvuna na approximation ni kama kila mwez niliingiza 1 million. Ni kiasi kidogo na ni kikubwa pia.
Tujifunze kuwekeza shambani