Kilimo ni biashara pekee inayolipa kwa 100%

Nilichokigundua ...waliofanikiwa wengi hawasemi up and down walizokumbana nazo kufikia mafaniko yao.
 
Kilimo ilikua inaonekana ni kazi za mafukara,sasa hivi kila mtu anakimbilia kulima,magu kabana biashara mjini haziendi km kipindi cha jk.watu sasa wameamua kulima tu.tatizo linakuja wakilima wengi,supply inakua kubwa,demand inashuka,bei inaenda chini.profit inakua ndogo

Umeongea kitu cha akili kubwa.Nitajadiliana na kushauriana nawewe.Maadamu unajua "demand na supply" utanielewa kirahisi.Pitia tena W5 za mkulima.Mojawapo ni when to buy anda sell na nyingine ni where to buy and sell.Zitumie kwa vitendo.Kabla ya kulima jiulize ninataka kuingia shambani lini na nitauza lini na wapi? Kwa mkulima wa nyanda za juu kusini kwa mfano hiki si kipindi rafiki kwake kuuza mazao ya nafaka.Bidhaa hizo kwa sasa ni nyingi kuliko mahitaji,ikifika Disemba hadi Machi utasikia mkulima anacheka mnunuzi analia.Kwa sasa ni kinyume chake,mnunuzi anacheka mkulima analia,zingatia haya bila kusahau mafundisho ya W3 zilizosalia.
 
mm nililima mwaka jana matikiti kwani sikufanikiwa kupata kitu zaidi ya matikiti ya machache ya kula home basi ndo niliambulia ndo maana kilimo ni balaa ila sikati tamaa nitaaingia tena kwa upya kulima

Ladyfurahia upo hatua nyingi karibu na mafanikio.Kila kosa ulilofanya awali hutarudia,safari ya pili utapata zaidi ya sasa japo waweza usifikie100% lakini kadri utakavyotenda ndivyo utakavyokuwa mtaalamu.Shuleni ilituchukua wengine zaidi ya mwezi mzima kujifunza kuandika a,e,i,o,u.Baaada ya kujua tukaiona rahiiisi na kuwashangaa wanaoshindwa.Usiache itakulipa.
 
mm nililima mwaka jana matikiti kwani sikufanikiwa kupata kitu zaidi ya matikiti ya machache ya kula home basi ndo niliambulia ndo maana kilimo ni balaa ila sikati tamaa nitaaingia tena kwa upya kulima
Mara ya kwanza kulima kidogo nipagawe, nililima vitunguu!!!
Cha msingi usikate tamaa, tathmini makosa uliyofanya awali ili usiyarudie then taratibu mambo yatajipa. Experience is a good teacher.
 
Ve
Kuna watu wapo busy kuhangaika kutafuta ajira serikalini na mashirika binafsi, wengi hufikiri kuwa wanaweza kutoka kwa kuajiriwa, vijana wengi wanaogopa kujihusisha na kilimo aidha wanafikiri kuwa kilimo hakilipi na wajanja waliopo huko hawawambii wenzao kuwa kilimo kinalipa.

Nitoe ushuhuda kidogo mwezi wa 9 mwaka jana nimelima ekari mbili gharama haikuzidi laki 5 lakini nimeuza mahindi hayo zaidi ya milioni 3. Na bado mengine nikaacha kwa ajili ya chakula, hebu fikiria sasa ni biashara gani ya laki tano ambayo unaweza ifanya kwa mtaji wa laki tano ukapata mil 3 kwa muda wa miezi 4 kwa kifupi haipo.

Mishahara mingi ya waajiriwa wenye shahada ni 450,000/=(kwa wale wenye mikopo) na 560,000/= kama huna mkopo, sasa tufanye hesabu fupi tuchukulie uhalisia kwamba vijana wengi wamesoma kwa mkopo, 450,000 ukilipia nyumba, umeme, maji na matumizi mengineyo unajikuta haifiki tarehe kumi tano unaanza kukopa tena, lakini ukichukua 450,000×12 =5,400,000/= kwa mwaka mzima, hii pesa kwa mkulima ni msimu mmoja tena huyo ni mkulima mdogo kabisa na kwa mwaka kuna misimu miwili.

Ushauri wangu kwa vijana tujaribu kuwekeza kwenye faida yake ni kubwa lakini pia kilimo ni mradi endelevu, idadi ya watu inazidi kuongezeka hivyo mahitaji ya chakula ni mengi kuliko idadi ya watu.
Uko sahii mkuu.
Mwaka huu nimelima heka mbili za mpunga nimepata gunia 23 za debe saba-saba. Mwakani(kunako uhai) nataka nilime heka 12 za mpunga. Inshaallah
 
Mara ya kwanza kulima kidogo nipagawe, nililima vitunguu!!!
Cha msingi usikate tamaa, tathmini makosa uliyofanya awali ili usiyarudie then taratibu mambo yatajipa. Experience is a good teacher.
Ni kama tunapoanza kazi, miaka ya mwanzo haifanani na tukiisha bobea kwenye taaluma.
 
Fanya utafit kwanza ndipo utoe ushaur, japo ushaur wako ni mzur sana
Lakin tuangalie risk katika kilimo tanzania tena kilimo endelevu.
Ni kweli mazao ya chakula soko lake ni lauwakika sana
Ila swali la kujiuliza shortage ya mahid iliyopo maeneo ya mikoa ya kaskazin wakulima wa kusuni ambao wanasuplus ya mahid wataweza faidika na hali hiyo
Je nyanya za dumila, mkulima anaweza faidika na shortage ya nyanya dar.
Kisha waza mtu alie chukua mkopo bank na anatakiwa kulipa na riba, kwa hali kama hiyo ataweza.
Maana utafit unasaidia kupunguza riski, ila kuingia ktk biashara bila utafik na kuangalia flan alipata nin tena kwa kipind kifup ni hatar sana.
Ni vema kujua taarifa za zao utakalo kulilima kama sehemu ya uwekezaji wako kuanzia mazingira ya uzalishaji (inputs) kama chanzo ya maji yako kwa hali ya sasa, usafirishaji, pembe jeo na mambo mengine.
Naunga mkono wazo lako
Walioenda shule mara nyingi huwa ni maskini sababu ya maelezo unayoyatoa hapo juu. Mnaogopa sana Risk. Shule haikufundishi kutafta solution. Inakuacha tu njia panda kutambua Risk.

Sasa endeleeni hivyo hivyo na kujifanya mnaakili sana za kufanya Risk assessment.

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Upo Sawa Ila Kuna Facat Zingne Ajira Ni Lazma Eg Wengne Tumesomea Nursing Lazma Tujitolee Bila Malipo Maana Hata Ajr Za Prvt Hakuna Ili tusisahau Tulichojifunza Huku Tukisubili Ajira Apo Ndo Ugumu Unakuja Kama Tungekua Tumexomea Kilimo Apo Tusinge Subili Ajira
 
Ve

Uko sahii mkuu.
Mwaka huu nimelima heka mbili za mpunga nimepata gunia 23 za debe saba-saba. Mwakani(kunako uhai) nataka nilime heka 12 za mpunga. Inshaallah
Napenda kujifunza kutoka kwako, labda nina maswali machache....
1. Mpunga unahitaji mbolea za aina ngap hadi kipindi cha kuvuna?
2. Hekari moja ya mpunga ikihudumiwa inavyotakiwa inaweza kutoa gunia ngap?
3. Mahitaji gani mengne ni muhimu katika kilimo cha mpunga ili kupata mazao mengi?
UKINIJIBU HAYA NITASHUKURU SANA
NB; Yeyote mwenye kuweza kunisaidia kuyajibu hayo pia ni vema.

Sent from my SM-T231 using JamiiForums mobile app
 
Fanya utafit kwanza ndipo utoe ushaur, japo ushaur wako ni mzur sana
Lakin tuangalie risk katika kilimo tanzania tena kilimo endelevu.
Ni kweli mazao ya chakula soko lake ni lauwakika sana
Ila swali la kujiuliza shortage ya mahid iliyopo maeneo ya mikoa ya kaskazin wakulima wa kusuni ambao wanasuplus ya mahid wataweza faidika na hali hiyo
Je nyanya za dumila, mkulima anaweza faidika na shortage ya nyanya dar.
Kisha waza mtu alie chukua mkopo bank na anatakiwa kulipa na riba, kwa hali kama hiyo ataweza.
Maana utafit unasaidia kupunguza riski, ila kuingia ktk biashara bila utafik na kuangalia flan alipata nin tena kwa kipind kifup ni hatar sana.
Ni vema kujua taarifa za zao utakalo kulilima kama sehemu ya uwekezaji wako kuanzia mazingira ya uzalishaji (inputs) kama chanzo ya maji yako kwa hali ya sasa, usafirishaji, pembe jeo na mambo mengine.
Naunga mkono wazo lako
Totally

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilimo ilikua inaonekana ni kazi za mafukara,sasa hivi kila mtu anakimbilia kulima,magu kabana biashara mjini haziendi km kipindi cha jk.watu sasa wameamua kulima tu.tatizo linakuja wakilima wengi,supply inakua kubwa,demand inashuka,bei inaenda chini.profit inakua ndogo
Chakula kina soko dunia nzima Kwa mfano Kenya Comoro nchi za ulaya zinataka chakula organic Dubai pia hawana ardhi ya kutosha kulia wanategemea chakula kutoka africa. Soko ni kubwa sana ukiongeza thamani unazidi kupiga pesa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri kuna umuhimu wa kulima kama watu weupe ambapo ni lazima awe na Mifugo.mfano huku mtwara mbaazi zimeuzwa hadi 200tsh kwa kilo.Hivyo ukiona wanakuzingua unawachemshia nguruwe wako tu kudadadeki,kuna mfugaji ametumia fursa hiyo kununua tani 20 hivyo Mifugo inanenepa tu.pia kwa matikiti,viazi,kunde,mahindi,maboga etc
 
Kuna watu wapo busy kuhangaika kutafuta ajira serikalini na mashirika binafsi, wengi hufikiri kuwa wanaweza kutoka kwa kuajiriwa, vijana wengi wanaogopa kujihusisha na kilimo aidha wanafikiri kuwa kilimo hakilipi na wajanja waliopo huko hawawambii wenzao kuwa kilimo kinalipa.

Nitoe ushuhuda kidogo mwezi wa 9 mwaka jana nimelima ekari mbili gharama haikuzidi laki 5 lakini nimeuza mahindi hayo zaidi ya milioni 3. Na bado mengine nikaacha kwa ajili ya chakula, hebu fikiria sasa ni biashara gani ya laki tano ambayo unaweza ifanya kwa mtaji wa laki tano ukapata mil 3 kwa muda wa miezi 4 kwa kifupi haipo.

Mishahara mingi ya waajiriwa wenye shahada ni 450,000/=(kwa wale wenye mikopo) na 560,000/= kama huna mkopo, sasa tufanye hesabu fupi tuchukulie uhalisia kwamba vijana wengi wamesoma kwa mkopo, 450,000 ukilipia nyumba, umeme, maji na matumizi mengineyo unajikuta haifiki tarehe kumi tano unaanza kukopa tena, lakini ukichukua 450,000×12 =5,400,000/= kwa mwaka mzima, hii pesa kwa mkulima ni msimu mmoja tena huyo ni mkulima mdogo kabisa na kwa mwaka kuna misimu miwili.

Ushauri wangu kwa vijana tujaribu kuwekeza kwenye faida yake ni kubwa lakini pia kilimo ni mradi endelevu, idadi ya watu inazidi kuongezeka hivyo mahitaji ya chakula ni mengi kuliko idadi ya watu.
umesema ukweli mtupu,sema vijana wengi wamejiwekea akili ya kuajiliwa na kukwepa shughuli nyingine za maendeleo kama kilimo kwa kisingizio cha mtaji.
hapohapo huyo kijana ana iphone x ya mil 1.2....muda umefika wa vijana kujitafakali upya kabisa.
 
Kuna watu wapo busy kuhangaika kutafuta ajira serikalini na mashirika binafsi, wengi hufikiri kuwa wanaweza kutoka kwa kuajiriwa, vijana wengi wanaogopa kujihusisha na kilimo aidha wanafikiri kuwa kilimo hakilipi na wajanja waliopo huko hawawambii wenzao kuwa kilimo kinalipa.

Nitoe ushuhuda kidogo mwezi wa 9 mwaka jana nimelima ekari mbili gharama haikuzidi laki 5 lakini nimeuza mahindi hayo zaidi ya milioni 3. Na bado mengine nikaacha kwa ajili ya chakula, hebu fikiria sasa ni biashara gani ya laki tano ambayo unaweza ifanya kwa mtaji wa laki tano ukapata mil 3 kwa muda wa miezi 4 kwa kifupi haipo.

Mishahara mingi ya waajiriwa wenye shahada ni 450,000/=(kwa wale wenye mikopo) na 560,000/= kama huna mkopo, sasa tufanye hesabu fupi tuchukulie uhalisia kwamba vijana wengi wamesoma kwa mkopo, 450,000 ukilipia nyumba, umeme, maji na matumizi mengineyo unajikuta haifiki tarehe kumi tano unaanza kukopa tena, lakini ukichukua 450,000×12 =5,400,000/= kwa mwaka mzima, hii pesa kwa mkulima ni msimu mmoja tena huyo ni mkulima mdogo kabisa na kwa mwaka kuna misimu miwili.

Ushauri wangu kwa vijana tujaribu kuwekeza kwenye faida yake ni kubwa lakini pia kilimo ni mradi endelevu, idadi ya watu inazidi kuongezeka hivyo mahitaji ya chakula ni mengi kuliko idadi ya watu.
Mwaka jana nimelima hekali tatu za maharagwe mkuu nikatumia mbegu zaidi ya kilo sitini lakini mavuno robo heka ikaja inverse kiasi kwamba unavuna tuta Zima haujazi mfuko wa shati
Kilimo nyoko
umesema ukweli mtupu,sema vijana wengi wamejiwekea akili ya kuajiliwa na kukwepa shughuli nyingine za maendeleo kama kilimo kwa kisingizio cha mtaji.
hapohapo huyo kijana ana iphone x ya mil 1.2....muda umefika wa vijana kujitafakali upya kabisa.
 
Wengine hiyo miezi minne wana milioni 6 huko bila jasho wala nini chini ya kiyoyozi
 
Mwaka jana nimelima hekali tatu za maharagwe mkuu nikatumia mbegu zaidi ya kilo sitini lakini mavuno robo heka ikaja inverse kiasi kwamba unavuna tuta Zima haujazi mfuko wa shati
Kilimo nyoko
Inahitaji moyo. Nimepoteza over 15m lakini sijakata Tamas nitarudi tena
 
Kuna sababu nyingi zinazo Fanya watu kuwa maskin wengine wana rasilimali nzur tu ila bado maskin n Kama tz nchi ina kila kitu lkn bado maskini. Ukweli kilimo bora kinalipa xana na watu wanatajirika coz kulimo
 
Mada inatoa ushaur kwa mwanafunz akimaliza chuo anaweza kujiajir kwenye kilimo.
Atajiajiri vip bila kuwa na initial capital?

Usikurupuke kama ulisoma rudi kafunue upya daftar zako na pitia sehemu ambayo mwalimu wako aliweka alama ya vema kama hakuna
Unaweza kwenda qt.

Kama ulisoma mambo ya kicheketile tuuu hapo sawa maana unajifunza na kuamin kwenye maneno ya watu wakale na sio hali ya sasa
Nenda kwa balozi wako atakupa elimu ju uwezaji na biashara

hapo kwenye bold. Ni kweli mtaji ni tatizo lakini kama watu wanavyoshauri siyo lazima kuanza na eneo kubwa. Shamba ekari hata mbili kwa kuanzia inaweza kumpatia kianzio. Ekari moja kukodi maeneo mengi nchi NI KATI YA ELFU HAMSINI HADI laki moja, kulima ekari moja ni Tshs 50,000/=, mbegu kilo 8 n.k. Kama anaweza kumudu kuishi mjini miaka miwili, mitatu hata minne bila kuwa na kazi maalum basi pia anaweza kumudu kulima hata ekari 4 au 5 akiwa huko huko mjini na mishe mishe zake wakati anajiandaa kwa kilimo cha scale ya kati. Tatizo vijana wengi kilimo tunaiona kama kazi ya wasio soma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom