Kilimo ni biashara pekee inayolipa kwa 100%

Mkuu ninakupongeza kwa hatua uliyopiga. Lakini bado sijaridhika na gharama ulotaja, ninasema hivyo kwa kuwa mimi pia nimewekeza kwenye kilimo cha mahindi kwa miaka mitano sasa. Naomba utuoneshe mchanganuo wa gharama zifutatazo:

*Kukodi kila heka 50,000.
*Kulima kila heka sh. ngapi?
*Palizi kila heka sh. ngapi
*Mbegu sh. ngapi kila kilo?
*Kilo ngapi za mbegu kila heka?
*Kuvuna sh. ngapi kila heka?
*Kupanda sh. ngapi kila heka?
*Kupukuchua sh ngapi?
Then tuzidishe mara mbili, pia utuambie wastani wa mavuno kwa heka ni gunia ngapi na uliuza kwa bei gani?

Ni vizuri kuhamasisha watu lakini si kwa kuwadanganya.
Mkuu ilogelo hivi kwa heka unaweza kupata gunia ngap???
 
Sundoka, umemjibu vyema huyu tomaso...
Jamaa anatoa ushuhuda yeye anataka afanye utafiti.
Kwasasa wakulima watarudisha heshima kwani biashara zingine zinasuasua, kupata hasara ni jambo la kawaida lkn kilimo ni biashara yenye uhakika wa soko. Mtua atajinyima kununua nguo na mengineyo lkn hawezi kukwepa kununua chakula
Kujifanya mnajua research sana ndo kunawafanya muwe maskini. Watu wanaongelea ushuhuda bado unataka afanye research tena theoretically??? Ili approve nini wakati tayari ameshafaya pratically??

Tatizo letu vijana tunakuwa sio risk takers! Na lazima tujue the mkre risk you take the more reward you are likely to get!

Sasa mkikutana na waoga kama jawa wanaoogopa kuthubutu na mkawasikiliza mtajikuta mnazeeka maskini na sio katika kulima tu, katika kila biashara watu wa namna hii wapo. Mtu anakwambia mimi nina boda boda yangu na napiga hela kiasi flan kwa mwezi, badalaya kumuuliza unafanye upate hela kama hiyo unaanza kumwambia pikipiki nikinunua itapata ajali! Hawa watu wa type hii ni wa kupuuzwa kabisa!

Mimi nawahakikishia hela ipo kwenye kilimo na ni uhakika sana. Ukichemka msimu wa kwanza msimu ujao unatusua. Cha msingi ni kuwauliza wanaofanikiwa wanapitia njia zipi na sio kuwaambia ukilima mazao yatakauka mvuahaitanyesha.

Achamaneno andaa shamba alafu uvune tuone yakikosa soko sasa!
 
Fanya utafit kwanza ndipo utoe ushaur, japo ushaur wako ni mzur sana
Lakin tuangalie risk katika kilimo tanzania tena kilimo endelevu.
Ni kweli mazao ya chakula soko lake ni lauwakika sana
Ila swali la kujiuliza shortage ya mahid iliyopo maeneo ya mikoa ya kaskazin wakulima wa kusuni ambao wanasuplus ya mahid wataweza faidika na hali hiyo
Je nyanya za dumila, mkulima anaweza faidika na shortage ya nyanya dar.
Kisha waza mtu alie chukua mkopo bank na anatakiwa kulipa na riba, kwa hali kama hiyo ataweza.
Maana utafit unasaidia kupunguza riski, ila kuingia ktk biashara bila utafik na kuangalia flan alipata nin tena kwa kipind kifup ni hatar sana.
Ni vema kujua taarifa za zao utakalo kulilima kama sehemu ya uwekezaji wako kuanzia mazingira ya uzalishaji (inputs) kama chanzo ya maji yako kwa hali ya sasa, usafirishaji, pembe jeo na mambo mengine.
Naunga mkono wazo lako
Msije mashambani jamani hakulipi, endeleeni kufanya "utafiti" hivyohivyo!
 
Bei ya mahindi nilipo last week ilikuwa mia5 kwa kilo, jana nimepigiwa simu na mtu wa mtwara anataka anunue shamba zime atavuna yeye then tutapima atanilipa mia720 kwa kilo nimemwambia aendelea kungoja!
 
Inategemeana na sehem gharama za kulima kwa Trekta, kama huku napoishi ni 28,000/= kukodisha kama ni mahindi heka moja haizidi 100,000/= hutegemei mvua, maji ni ya mifereji ambayo gharama yake ni kila mwezi kunakuwa na msaragambo wa kusafisha mifereji.
Kila sehem kuna tofauti sana na sehem zingine
mkoa gani huo mkuu ?
 
Kujifanya mnajua research sana ndo kunawafanya muwe maskini. Watu wanaongelea ushuhuda bado unataka afanye research tena theoretically??? Ili approve nini wakati tayari ameshafaya pratically??

Tatizo letu vijana tunakuwa sio risk takers! Na lazima tujue the mkre risk you take the more reward you are likely to get!

Sasa mkikutana na waoga kama jawa wanaoogopa kuthubutu na mkawasikiliza mtajikuta mnazeeka maskini na sio katika kulima tu, katika kila biashara watu wa namna hii wapo. Mtu anakwambia mimi nina boda boda yangu na napiga hela kiasi flan kwa mwezi, badalaya kumuuliza unafanye upate hela kama hiyo unaanza kumwambia pikipiki nikinunua itapata ajali! Hawa watu wa type hii ni wa kupuuzwa kabisa!

Mimi nawahakikishia hela ipo kwenye kilimo na ni uhakika sana. Ukichemka msimu wa kwanza msimu ujao unatusua. Cha msingi ni kuwauliza wanaofanikiwa wanapitia njia zipi na sio kuwaambia ukilima mazao yatakauka mvuahaitanyesha.

Achamaneno andaa shamba alafu uvune tuone yakikosa soko sasa!
Tatizo watu wanakata tamaa kabla ya kujaribu,wanapenda maisha ya kuzunguka kwenye kiti maofisini. I
Fanya utafit kwanza ndipo utoe ushaur, japo ushaur wako ni mzur sana
Lakin tuangalie risk katika kilimo tanzania tena kilimo endelevu.
Ni kweli mazao ya chakula soko lake ni lauwakika sana
Ila swali la kujiuliza shortage ya mahid iliyopo maeneo ya mikoa ya kaskazin wakulima wa kusuni ambao wanasuplus ya mahid wataweza faidika na hali hiyo
Je nyanya za dumila, mkulima anaweza faidika na shortage ya nyanya dar.
Kisha waza mtu alie chukua mkopo bank na anatakiwa kulipa na riba, kwa hali kama hiyo ataweza.
Maana utafit unasaidia kupunguza riski, ila kuingia ktk biashara bila utafik na kuangalia flan alipata nin tena kwa kipind kifup ni hatar sana.
Ni vema kujua taarifa za zao utakalo kulilima kama sehemu ya uwekezaji wako kuanzia mazingira ya uzalishaji (inputs) kama chanzo ya maji yako kwa hali ya sasa, usafirishaji, pembe jeo na mambo mengine.
Naunga mkono wazo lako
Mnaopenda viti vya kuzunguka tutawajua tu kwa miandiko yenu. Bakini huko huko maofisini mkifanya research. Mkija shamba mtachafuka mwaya.
 
Bei ya mahindi nilipo last week ilikuwa mia5 kwa kilo, jana nimepigiwa simu na mtu wa mtwara anataka anunue shamba zime atavuna yeye then tutapima atanilipa mia720 kwa kilo nimemwambia aendelea kungoja!
Unadhani itaendelea kupanda mkuu?? Kilimo hakipo hivyo, ndani ya siku mbili price difference inaweza kuwa kubwa sana tena uelekeo wa negative
 
Hahahaa, kweli kabisa Mkuu, wasije shamba, waendelee kufanya upembuzi yakinifu!
 
Unadhani itaendelea kupanda mkuu?? Kilimo hakipo hivyo, ndani ya siku mbili price difference inaweza kuwa kubwa sana tena uelekeo wa negative

Wewe unalimia wapi ndugu?
Kama kweli unalima (mahindi), wala usingeuliza hilo swali. Mwaka huu bei itafika au kukaribia elf1300-1500 kwa kilo, mark this thread then njoo uniulize January 2018.
 
Kujifanya mnajua research sana ndo kunawafanya muwe maskini. Watu wanaongelea ushuhuda bado unataka afanye research tena theoretically??? Ili approve nini wakati tayari ameshafaya pratically??

Tatizo letu vijana tunakuwa sio risk takers! Na lazima tujue the mkre risk you take the more reward you are likely to get!

Sasa mkikutana na waoga kama jawa wanaoogopa kuthubutu na mkawasikiliza mtajikuta mnazeeka maskini na sio katika kulima tu, katika kila biashara watu wa namna hii wapo. Mtu anakwambia mimi nina boda boda yangu na napiga hela kiasi flan kwa mwezi, badalaya kumuuliza unafanye upate hela kama hiyo unaanza kumwambia pikipiki nikinunua itapata ajali! Hawa watu wa type hii ni wa kupuuzwa kabisa!

Mimi nawahakikishia hela ipo kwenye kilimo na ni uhakika sana. Ukichemka msimu wa kwanza msimu ujao unatusua. Cha msingi ni kuwauliza wanaofanikiwa wanapitia njia zipi na sio kuwaambia ukilima mazao yatakauka mvuahaitanyesha.

Achamaneno andaa shamba alafu uvune tuone yakikosa soko sasa!
Sure the most dangerous risk is not taking any risk
 
Mahindi gunia moja wastani wa kilo 108 ni shilingi 90000 hadi 110000 . Na haitoshuka chakula hakipo kabisa .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom