Bashatu
JF-Expert Member
- Nov 8, 2015
- 834
- 885
Mkuu asante kwa yoote. Ila je unaponunua mbegu kutoka kenya pale mpakani hawazikamati kwa sababu mbegu na madawa ni lazima yathibitishwe na mamlaka husika.Mnapouliza maswali jaribuni kuwa waungwana, porojo za social media zinatoka wapi? Kuna ajabu gani hapo? Mbona hayo mavuno ni ya kawaida kwanza nipo chini ya malengo.
Kama inawezekana naomba nitumie mawasiliano inbox, na mimi nipo kwenye project ya mahindi na tunatumia mbegu kutoka kenya seed co.