Kilimo kinavyonizidi kunitajirisha, milioni 50 kwa mwaka

 
Kwenye forum ya biashara umeweka milion 24 kwa kuuza ufuta na mihogo na kuwatusi watembeza bahasha za kaki huku umeweka milioni 50!! Hongera sana
 
"Nili earn"... kwani mkiandika kwa kiswahili sahihi mtakufa? Na kama ulipata milioni 50 kwa mwaka hizo 150 zimeingia kimiujiza kwenye account?
 
Ukimuamsha aliyelalala utalala wewe, ukiona mtu anakuitia fursa ya maokoto ujue maokoto yenyewe ni wewe!, Akili mkichwa
 
Nyie vijana endeleeni kupiga majungu na uzandiki maskani sie vijana wenzenu tunaendelea kupiga maokoto kwenye kilimo just imagine kama mie naweza.kuingiza milioni 50 kwa mwaka wewe kijana mwenzangu unashindwa nini? Nyie sio kazi.yenu kupiga majungu na uzandiki vijiweni? Na wengine kazi kuvuta bangi tu?

Vijana kwenye kilimo kuna hela.asiwaambie mtu aisee last year nili earn 30 milioni na this year nimekamata milioni 50 per year nyie wengine mtashindwa nini?

Au mnasubiria serikali yenu ya maCcm ikawapa ajira? Ajira si kitu ni michosho tu asiwaambie mtu si unaona mpaka nimebadilisha jina mpaka sasa najiita bilionaire kekeman?

Ebu fikiri kijana mdogo kama mime hata 30 sijafika ndiyo kwanza nipo 27 nina zaidi ya milioni 150 kwenye akauti wewe una nini? Yaani utakuta ndiyo kwanza una zaidi ya 30+ plus maisha yako hauyaelewi kabisa aisee poleni

Call me bilionaire kekeman, poleni mnashindwa njaa sie tunashinda.mijihela.
Kama ulianza std 1 na miaka 7,form 4 ulikuwa, na 10,mpaka unatoka chuo(kama, ulifika), Ulimaliza na 17! After 10 yrs una 150M, maana yake kwa wastani kila mwaka ulitengeneza 15M! Hiyo yote faida maana hupangi, unakula hm, huna mke wala mtoto!
Au inawezekana ulitengeneza 150M, kwa miaka mitatu! Kila mwaka 50M faida, net profit!
Ama ulikuwa unauza bangi, cocaine,
Kwa uZoefu wangu(mie muhenga), nimeona watu wakifikia ukwasi kutokea kwenye ajira, kampuni zikafa,wakalipwa mpunga mrefu saana,wakafungua ma kampuni, hapo wana miaka 44+, na, kama kampuni zao, zisingekufa, wasingeweza kuwa hata na 40M!
 
Oyaaa 😂😂😂
27 tayari we kibabu

Watu wana 18yrs na wanaingiza hizo M50 monthly.

Chai yake chai
😂😂😂 young angekuwa labda ni 25 and below
Ila ameanza vizuri but ni vizuri zaidi angekuja na ushahidi nini gharama ,,, bei gani inakuwa invested na inakujaje 50M per annum
 
Usiniambieee mzeee wangu? Dah hongera niazime japo million 1 nipigenayo picha hrf nakurudishia maana ufukara utaniuwaaaaaa
 
Back
Top Bottom