Kuna mtu atapigwa hapaHaka katangazo umekaweka kitaalam sana Afsa!
Haka katangazo umekaweka kitaalam sana Afsa!
Kama ulianza std 1 na miaka 7,form 4 ulikuwa, na 10,mpaka unatoka chuo(kama, ulifika), Ulimaliza na 17! After 10 yrs una 150M, maana yake kwa wastani kila mwaka ulitengeneza 15M! Hiyo yote faida maana hupangi, unakula hm, huna mke wala mtoto!Nyie vijana endeleeni kupiga majungu na uzandiki maskani sie vijana wenzenu tunaendelea kupiga maokoto kwenye kilimo just imagine kama mie naweza.kuingiza milioni 50 kwa mwaka wewe kijana mwenzangu unashindwa nini? Nyie sio kazi.yenu kupiga majungu na uzandiki vijiweni? Na wengine kazi kuvuta bangi tu?
Vijana kwenye kilimo kuna hela.asiwaambie mtu aisee last year nili earn 30 milioni na this year nimekamata milioni 50 per year nyie wengine mtashindwa nini?
Au mnasubiria serikali yenu ya maCcm ikawapa ajira? Ajira si kitu ni michosho tu asiwaambie mtu si unaona mpaka nimebadilisha jina mpaka sasa najiita bilionaire kekeman?
Ebu fikiri kijana mdogo kama mime hata 30 sijafika ndiyo kwanza nipo 27 nina zaidi ya milioni 150 kwenye akauti wewe una nini? Yaani utakuta ndiyo kwanza una zaidi ya 30+ plus maisha yako hauyaelewi kabisa aisee poleni
Call me bilionaire kekeman, poleni mnashindwa njaa sie tunashinda.mijihela.
😂😂😂 young angekuwa labda ni 25 and belowOyaaa 😂😂😂
27 tayari we kibabu
Watu wana 18yrs na wanaingiza hizo M50 monthly.
Chai yake chai