The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,470
- 13,487
Soma hii atachmentNilivyosoma per Yearly, nikajua ni wasomi wa vitabu vya Kiyosaki.
Soma hii atachmentNilivyosoma per Yearly, nikajua ni wasomi wa vitabu vya Kiyosaki.
lazima waniamini hao mbwa wenzioVijana msikatishwe tamaa na huyu hebu fungueni hii attachment hapa mjue mnadeal na nani
Utajua mwenyeweMara hii annually imekuwa yearly.
Kiingereza cha mchongo kama ilivyo habari ya mchongo,
Note: Mimi mkulima na nimeanza kuwa mfugaji kiwango cha kuitwa mwekezaji.
Bipolar naona imewaka motoSi l
lazima waniamini hao mbwa wenzio
😂😂Hatuna shida na u billionaire Wala juhudi zake na ni jambo zuri kuwa na malengo makubwa.
Shida ni makeke yake wakati Bado hajafikia huko anapotaka kufika.
Alafu kuna sele mtoto wa mzee Jabile 😂😂😂Achana na sele wa mboso kuna side mnyamwezi, kuna mtoto iddi, kuna ahmada cha pombe, halafu kuna bwana athumani.
Athumani akishalewa lewa.
Anashindwa kujielewa lewa.
Talilalila lila, chicha limemkolea.
😂🤣😂🤣🤣
😂😂Alafu kuna sele mtoto wa mzee Jabile 😂😂😂
Undava undava
Ila mtoto idd kiboko yao mpk wanga wamekula kiboga 🤣🤣🤣🤣😂😂
Wamakonde wanasema
Ununu ununu
Mtoto iddi nux, mtaalamu wa kupenya dirishani, aliwahi kumuibia mpaka majani.Ila mtoto idd kiboko yao mpk wanga wamekula kiboga 🤣🤣🤣🤣
We jua tu tunakula ndio maana tuko hai hadi sasa mkuuHizo timu ndiyo zinawapa kula?
Ye kila siku kesi haziishi mahamakaniMtoto iddi nux, mtaalamu wa kupenya dirishani, aliwahi kumuibia mpaka majani.
😂🤣
Ye kila siku kesi haziishi mahamakani
Napita kona naona kundi la watu, wamembeba idd kaiba viatu vya watu 🤣🤣🤣
Iddi pasua kichwa aiseee!! Hii nyimbo kiroboto aliimba
Siyo kila mtu anaweza kuthubutu kulima bangi mkuu. Wewe umejitoa sadaka-liwalo na liweNyie vijana endeleeni kupiga majungu na uzandiki maskani sie vijana wenzenu tunaendelea kupiga maokoto kwenye kilimo just imagine kama mie naweza.kuingiza milioni 50 kwa mwaka wewe kijana mwenzangu unashindwa nini? Nyie sio kazi.yenu kupiga majungu na uzandiki vijiweni? Na wengine kazi kuvuta bangi tu?
Vijana kwenye kilimo kuna hela.asiwaambie mtu aisee last year nili earn 30 milioni na this year nimekamata milioni 50 per year nyie wengine mtashindwa nini?
Au mnasubiria serikali yenu ya maCcm ikawapa ajira? Ajira si kitu ni michosho tu asiwaambie mtu si unaona mpaka nimebadilisha jina mpaka sasa najiita bilionaire kekeman?
Ebu fikiri kijana mdogo kama mime hata 30 sijafika ndiyo kwanza nipo 27 nina zaidi ya milioni 150 kwenye akauti wewe una nini? Yaani utakuta ndiyo kwanza una zaidi ya 30+ plus maisha yako hauyaelewi kabisa aisee poleni
Call me bilionaire kekeman, poleni mnashindwa njaa sie tunashinda.mijihela.