Kilimo, jeshi na computer yawe masomo ya lazima

Kilimo, jeshi na computer yawe masomo ya lazima

1743052477990.png
 
Sijazungumzia kuondolewa kwa hisabati nlichokisema haina haja ya kuwa somo la lazima isipokuwa kuwa somo la kawaida kuanzia chekechea hadi sekondari au vyuo. Lakini hii inamaana kuweo kwa combination hizo secondary na vyuo. Natolea mfano ikiwa mwanafunzi anataka kwenda kusomea md chuoni, tcu ikaelekeza kuwa lazima awe na ufaulu wa alama B YA MATHEMATICS huyu hajalazimishwa kusoma mathematics automatically? ?

Je mathematics inamaana gani ikiwa hakuna topic ya BINARY na CODING Ambazo hesabu zinazoendesha dunia yote.
Logarithim, pai, radical zinafaida gani mtaani kwako na maisha yako kwa ujumla.

Leo tuondoe kujumlisha, kuzidisha, kugawanya na kutoa tuache hizo log, radicals na exponents niambie zinakusaidia kitu gani
Tunawezaje kuacha coding na binary ambapo simu, comouter hadi earphone za bluetooth zinatumia binary na coding tunalazimisha mtu kusoma radicals na exponents na sisi tunasema tunalijenga taifa
Broo kwanza nikusaidie kitu kimoja hizo log huwezi kuziona kwa macho ya kawaida ila kwa watu wa data science , machine Learning , big data analytics utajua nini maana ya log inatumika pia huwezi ondoa jumlisha au toa nk....kwenye computer lazima utaziappply tu sehemu then......
Nikwambie tu mathematics inakufanya kichwa chako kifikirie zaidi ukiwa una solve hesabu au coding kuhusu hesabu usiiguse kabisa..kila kitu kwenye ulimwengu wa technology lazima ujue namba una apply hesabu kwa kutumia computer nazani umenielewa sasa
 
Back
Top Bottom