Kilimo bora cha Mananasi: Uandaaji wa shamba, upandaji, utunzaji wa mimea na uvunaji wa mananasi

Kwa mimi kulima hili zao kibiashara itakua ni last option nilijaribu nikaangukia pua hadi sasa yapo shambani.kilichoniangusha 1.msimamizi wa shamba
2.taarifa za mihemko + uongo

Msimamizi alinipiga mnooo kuanzia ununuzi wa mbegu.niliLipia miche 1800 kwa kila ekari moja then alileta pungufu pili mbolea hakuweka kiufasaha.lastly kuiva kwa nanasi kidogokidogo ni ngumu ku control usiibiwe na msimamiz


Kuhusu mihemko taarifa niliibeba juujuu bila kufanya research.bei za kuuza ni uongo,uhakika wa wateja uongo.muda wa miez 18 uongo.

Wateja wanafika shamban na bei zao.nanas chamba ni 300/500 kubwa.hapo kukata sh.50 na kupakia sh 50 hivyo unabaki na 200/400.
Likiiva ndege wanakula mnoo (hasara)
Pia uwezekano wa kuwapa wauzaji kwa mkopo wakauze kwa bei zao wakuletee chako mlichokubaliana.
Unaweza kulima ukidhan ni only 18month kumbe zikakaa upto 3yrs na kila kitu unafanya.
Ni zao fulan hivi ambalo linalimwa kimazoea na si kibiashara.
Kwa wataka akupiga hela za chapchap msilime mtalia kama
Yani kilimo chochote kile au biashara yoyote ile ukifeli vituvitatu utaanguka tu
1-usimamizi
2-matumizi ya muda
3-huduma
Hapo lazima ufeli kama unashamba au hata biashara unatumia simu utafeli
Kama unamsimamizi siyo muaminifu utaangukia pua tu....

Pole ila nakushauri ishi katika ndoto yako na fanya kile unachoweza yani natamani ningekupa ushauri ila
 
Mimi nimelima,nazingatia huduma zote za zao.Na pia niwaambie kwa Sasa tuna dawa ambayo unaweka Ili uvune nanasi mwezi ambao hauna nanasi nyingi.Cha muhimu zingatia kuhudumia vizuri Ili nanasi zitoke kubwa
 
Yani kilimo chochote kile au biashara yoyote ile ukifeli vituvitatu utaanguka tu
1-usimamizi
2-matumizi ya muda
3-huduma
Hapo lazima ufeli kama unashamba au hata biashara unatumia simu utafeli
Kama unamsimamizi siyo muaminifu utaangukia pua tu....

Pole ila nakushauri ishi katika ndoto yako na fanya kile unachoweza yani natamani ningekupa ushauri ila
Wewe umelimia wapi? Tunaweza tembeleana na kupeana ushauri
 
Kwa mimi kulima hili zao kibiashara itakua ni last option nilijaribu nikaangukia pua hadi sasa yapo shambani.kilichoniangusha 1.msimamizi wa shamba
2.taarifa za mihemko + uongo

Msimamizi alinipiga mnooo kuanzia ununuzi wa mbegu.niliLipia miche 1800 kwa kila ekari moja then alileta pungufu pili mbolea hakuweka kiufasaha.lastly kuiva kwa nanasi kidogokidogo ni ngumu ku control usiibiwe na msimamiz


Kuhusu mihemko taarifa niliibeba juujuu bila kufanya research.bei za kuuza ni uongo,uhakika wa wateja uongo.muda wa miez 18 uongo.

Wateja wanafika shamban na bei zao.nanas chamba ni 300/500 kubwa.hapo kukata sh.50 na kupakia sh 50 hivyo unabaki na 200/400.
Likiiva ndege wanakula mnoo (hasara)
Pia uwezekano wa kuwapa wauzaji kwa mkopo wakauze kwa bei zao wakuletee chako mlichokubaliana.
Unaweza kulima ukidhan ni only 18month kumbe zikakaa upto 3yrs na kila kitu unafanya.
Ni zao fulan hivi ambalo linalimwa kimazoea na si kibiashara.
Kwa wataka akupiga hela za chapchap msilime mtalia kama
Kwa Sasa tuna dawa ya kuchavusha maua/ kutungisha/ kuchavuja yakikomaa unapiga tena almost nanasi zote zinaweza iva wakati mmoja.Na wateja off season wapo wa kutosha mfano mimi Sasa hivi wanataka na ambazo hazijaiva kabisa kwasababu zipo off season.Pili ni kweli wasimamizi wanapiga hasa kipindi Cha mwanzo ukigundua ni kumbadilisha,vijana ni kweli waaminifu ni wachache lkn usichoke hata biashara zingine Zina ugumu kama huo hakuna kitu kirahisi,tafuta kijana ambae ni mwaminifu na kingine wakati wa kuweka mbolea na palizi jitahidi uwepo au mtume mtu ambae ni WA Karibu yako ambae ni mwaminifu
 
Kwa Sasa tuna dawa ya kuchavusha maua/ kutungisha/ kuchavuja yakikomaa unapiga tena almost nanasi zote zinaweza iva wakati mmoja.Na wateja off season wapo wa kutosha mfano mimi Sasa hivi wanataka na ambazo hazijaiva kabisa kwasababu zipo off season.Pili ni kweli wasimamizi wanapiga hasa kipindi Cha mwanzo ukigundua ni kumbadilisha,vijana ni kweli waaminifu ni wachache lkn usichoke hata biashara zingine Zina ugumu kama huo hakuna kitu kirahisi,tafuta kijana ambae ni mwaminifu na kingine wakati wa kuweka mbolea na palizi jitahidi uwepo au mtume mtu ambae ni WA Karibu yako ambae ni mwaminifu

Naweza wapi kupata mbegu za nanasi
 
Naweza wapi kupata mbegu za nanasi
Hii ni changamoto kubwa mno.
Changamoto nyingine ni namna ya kusafirisha.
Zinachukua eneo kubwa.
Unaweza kujaza lori kwa miche michache tu.
Mimi nilipata miche zaidi ya km.150 kutoka nilipo.
Ilibidi niwe nakata majani kwa kiwango kikubwa.
Kwa ujumla nilikuwa nabakiza shina.
Nilikiwa naipakia kwenye magunia, hivyo ilikuwa rahisi kusafirisha miche mingi.

Nilipoipanda ilichipua vizuri sana.

Hakikisha mradi unaupa usimamizi mkubwa na wa makini.
Hasa wakati wa uwekaji mbolea(kuhakikisha kiwango na usahihi).
Pia uvunaji.
Ikibidi unaweza kuuza mavuno/mazao kwa mteja kwa bei ya jumla.
Namaanisha unauza nanasi zote zilizo shambani kwa mteja.
Huyu unamwambia aweke mlinzi wake ambaye malipo yake mtajadiliana.
Kwa ujumla mradi huu ni mzuri.
TAHADHARI.
Usilime kwa kutumia simu.
 
Kwa Sasa tuna dawa ya kuchavusha maua/ kutungisha/ kuchavuja yakikomaa unapiga tena almost nanasi zote zinaweza iva wakati mmoja.Na wateja off season wapo wa kutosha mfano mimi Sasa hivi wanataka na ambazo hazijaiva kabisa kwasababu zipo off season.Pili ni kweli wasimamizi wanapiga hasa kipindi Cha mwanzo ukigundua ni kumbadilisha,vijana ni kweli waaminifu ni wachache lkn usichoke hata biashara zingine Zina ugumu kama huo hakuna kitu kirahisi,tafuta kijana ambae ni mwaminifu na kingine wakati wa kuweka mbolea na palizi jitahidi uwepo au mtume mtu ambae ni WA Karibu yako ambae ni mwaminifu
Nashukuru sana kwa maelezo yako muruwa.
Naomba kufahamu namna ya kuipata, bei na ikiwezekana matumizi yake.
Hapa namaanisha namna ya.kutumia.
Ipigwe wakati upi na usubiri muda gani?
Asante sana.
 
Nashukuru sana kwa maelezo yako muruwa.
Naomba kufahamu namna ya kuipata, bei na ikiwezekana matumizi yake.
Hapa namaanisha namna ya.kutumia.
Ipigwe wakati upi na usubiri muda gani?
Asante sana.
Dawa inauzwa niambie upo wapi nitakuunganisha na wadau, matumizi ikiwezekana ni muhimu kufika shambani.Hiyo dawa ikipiga hata nanasi uliopanda leo inatoa mbegu.Kujifunza kwa vitendo ni muhimu zaidi kuliko theories za kwenye mtandao usijepoteza hela yako,ukiwahi kuipiga unapata nanasi ndogo ambazo hazina faida yoyote
 
Hii ni changamoto kubwa mno.
Changamoto nyingine ni namna ya kusafirisha.
Zinachukua eneo kubwa.
Unaweza kujaza lori kwa miche michache tu.
Mimi nilipata miche zaidi ya km.150 kutoka nilipo.
Ilibidi niwe nakata majani kwa kiwango kikubwa.
Kwa ujumla nilikuwa nabakiza shina.
Nilikiwa naipakia kwenye magunia, hivyo ilikuwa rahisi kusafirisha miche mingi.

Nilipoipanda ilichipua vizuri sana.

Hakikisha mradi unaupa usimamizi mkubwa na wa makini.
Hasa wakati wa uwekaji mbolea(kuhakikisha kiwango na usahihi).
Pia uvunaji.
Ikibidi unaweza kuuza mavuno/mazao kwa mteja kwa bei ya jumla.
Namaanisha unauza nanasi zote zilizo shambani kwa mteja.
Huyu unamwambia aweke mlinzi wake ambaye malipo yake mtajadiliana.
Kwa ujumla mradi huu ni mzuri.
TAHADHARI.
Usilime kwa kutumia simu.
Upo sahihi ulichosema wakati wa kuweka mbolea uwepo na wakati wa kuvuna uwepo au awepo ndugu unaemuamini.Kwa simu lazima upigwe
 
Hii ni changamoto kubwa mno.
Changamoto nyingine ni namna ya kusafirisha.
Zinachukua eneo kubwa.
Unaweza kujaza lori kwa miche michache tu.
Mimi nilipata miche zaidi ya km.150 kutoka nilipo.
Ilibidi niwe nakata majani kwa kiwango kikubwa.
Kwa ujumla nilikuwa nabakiza shina.
Nilikiwa naipakia kwenye magunia, hivyo ilikuwa rahisi kusafirisha miche mingi.

Nilipoipanda ilichipua vizuri sana.

Hakikisha mradi unaupa usimamizi mkubwa na wa makini.
Hasa wakati wa uwekaji mbolea(kuhakikisha kiwango na usahihi).
Pia uvunaji.
Ikibidi unaweza kuuza mavuno/mazao kwa mteja kwa bei ya jumla.
Namaanisha unauza nanasi zote zilizo shambani kwa mteja.
Huyu unamwambia aweke mlinzi wake ambaye malipo yake mtajadiliana.
Kwa ujumla mradi huu ni mzuri.
TAHADHARI.
Usilime kwa kutumia simu.
Wwe unalimia wapi
 
Back
Top Bottom