Kilimo bora cha Mananasi: Uandaaji wa shamba, upandaji, utunzaji wa mimea na uvunaji wa mananasi

Naomben ushauri wapi nitapata mbegu ya nanasi na nijisi gani nanasi inalimwa .udongo unatakuwa uweje,hali yahewa na mengine yate yanayohusu kilimo cha nanasi

Sent using Jamii Forums mobile app

Mbegu unapata kwa wakulima. jaribu Kiwangwa kama upo Dar/Pwani. Si kila udongo unakubali nanasi. Unaotesha muda wowote maana haikauki. Mwanzo ni ilikuwa zinalimwa Kiwangwa kwa wingi ili sasa hivi zinalimwa maeneo mengine ikiwa ni pamoja na Mkuranga, Tanga, n.k na hii imepelekea soko kuyumba kwa miaka ya karibuni.

Nanasi linahitaji mtaji maana ya acre moja gharama ya mbegu tu inaweza kufikia milioni moja. Huwa halitaki kitu kinaitwa majani kwa hiyo palizi ni muhimu sana. Pia linahitaji mbolea. Unavuna baada ya miezi 18.
 
SHAMBA+

Habari.....?..
ni taarifa njema kwa wakulima na wauzaji pembejeo pamoja na dawa za kilimo,,,
kampuni yetu pendwa ya NEXIS tunatoa fursa kwa wakulima na wauzaji pembejeo pamoja na dawa za kilimo kuweza kuwasajili bure kwenye system mpya ambayo itawawezesha wakulima,wauzaji pembejeo pamoja na dawa za kilimo muweze kukutana kwa njia rahisi kupitia application maalum ambayo mtapaswa kujisajiri bure ...
kwa sasa tunaanza kuwasajili wale wenye maduka ya uuzaji pembejeo pamoja na dawa za kilimo..ili tuweze kuwaingiza kwenye system yaani application...huduma hii ni bure

karibuni kwa wauzaji pembejeo unaweza kutuma majina yako kamili pamoja na namba yako ili tuweze kujisajili sasa

karibuni sana
 
Unaposema huwez kupata Nana's chin ya 1500 unamaanisha soko lipi?hebu nenda mabibo,buguruni, stereo...ukajizolee Nana's kwa jerojero bei elekez
 
shamba+

habari wadau wa kilimo .....kwa sasa tiyari tushafungua whatsapp channel ya kusubscribe isave hii namba +27634444350 kisha ingia whatsapp na uitumie ujumbe wa neno la shamba+ kwa herufi ndogo hapo moja kwa moja utakuwa umesubscribe....

baadaye wadau wengi wa kilimo wakisha subscribe hii channel itakuwa inasaidia kutoa information kwa mfano mkulima akiingia na kuulizia masuala ya pembejeo au bwana shamba basi moja kwa moja ataweza kupata jibu hapo hapo kupitia bwana shamba aliye hewani kwa mda husika...pia unaweza kufollow page yetu instagram shambaplus_

kwa maelekezo zaidi unaweza kunipigia 0692449416
 
Vipi mbuzi ulishapata mkuu?

Tuje kwenye nanasi, kama uko serious, nenda regional block Kibaha idara ya kilimo,pale watakupa kila kitu sawa na eneo ulilopata shamba kwa ukanda huu wa Dsm/Pwani. Kama hutajali nenda Kiwangwa bagamoyo ukajifunze kwa vitendo kwa wakulima, watakwambia faida ya mbegu za kisasa na faida ya mbegu za kienyeji kwa vitendo,naamu pia wakati na udongo gani unafaa.

Mbegu za nanasi ziko barabarani nyingi tu zinauzwa, ila kabla hujanunua fika Kibaha kwanza. Ukame unapunguza mavuno na kama unaweza nenda pale Mwenge njia ya Coca cola, kuna kituo cha serikali kwa ajili ya miche ya minazi/embe uliza kituo cha minazi. Pale kuna watalaamu kibao.

Mkuu kazi njema.
Malila

Habari mkuu

Hawa mbuzi ni wanaozaa mapacha? Je wanapatikana wapi? Bei zao?
 
kumbe tupo wengi, hii njia inalipa sana mimi nimepanda mazao kama 8 hivi humo ndani kuna mbaazi, kunde(zikiwa mbichi ni fedha nzuri sana), karanga, ulezi na mtama kiasi. Somo la kilimo limenisaidia sana japo kipindi nalisoma nililiona kama kero kubwa kwangu
Nimeipenda hii mkuu

Je unauzia wapi kunde na mbaazi chichi / soko lake liko wapi?
 
Hayo mananasi ambayo yakivunwa mtaani kwangu ni mbali kilometa 400 kutoka yanapovunwa ila ni jero kwa nanasi
 
Kwa wanaohitaji mashamba na viwanja vya kununua na kujenga pia na kilimo,Ufungaji Nicheki 0622310464. pwani mkuranga.
 
Mbegu unapata kwa wakulima. jaribu Kiwangwa kama upo Dar/Pwani. Si kila udongo unakubali nanasi. Unaotesha muda wowote maana haikauki. Mwanzo ni ilikuwa zinalimwa Kiwangwa kwa wingi ili sasa hivi zinalimwa maeneo mengine ikiwa ni pamoja na Mkuranga, Tanga, n.k na hii imepelekea soko kuyumba kwa miaka ya karibuni.

Nanasi linahitaji mtaji maana ya acre moja gharama ya mbegu tu inaweza kufikia milioni moja. Huwa halitaki kitu kinaitwa majani kwa hiyo palizi ni muhimu sana. Pia linahitaji mbolea. Unavuna baada ya miezi 18.
Kwa mimi kulima hili zao kibiashara itakua ni last option nilijaribu nikaangukia pua hadi sasa yapo shambani.kilichoniangusha 1.msimamizi wa shamba
2.taarifa za mihemko + uongo

Msimamizi alinipiga mnooo kuanzia ununuzi wa mbegu.niliLipia miche 1800 kwa kila ekari moja then alileta pungufu pili mbolea hakuweka kiufasaha.lastly kuiva kwa nanasi kidogokidogo ni ngumu ku control usiibiwe na msimamiz


Kuhusu mihemko taarifa niliibeba juujuu bila kufanya research.bei za kuuza ni uongo,uhakika wa wateja uongo.muda wa miez 18 uongo.

Wateja wanafika shamban na bei zao.nanas chamba ni 300/500 kubwa.hapo kukata sh.50 na kupakia sh 50 hivyo unabaki na 200/400.
Likiiva ndege wanakula mnoo (hasara)
Pia uwezekano wa kuwapa wauzaji kwa mkopo wakauze kwa bei zao wakuletee chako mlichokubaliana.
Unaweza kulima ukidhan ni only 18month kumbe zikakaa upto 3yrs na kila kitu unafanya.
Ni zao fulan hivi ambalo linalimwa kimazoea na si kibiashara.
Kwa wataka akupiga hela za chapchap msilime mtalia kama
 
Kwa mimi kulima hili zao kibiashara itakua ni last option nilijaribu nikaangukia pua hadi sasa yapo shambani.kilichoniangusha 1.msimamizi wa shamba
2.taarifa za mihemko + uongo

Msimamizi alinipiga mnooo kuanzia ununuzi wa mbegu.niliLipia miche 1800 kwa kila ekari moja then alileta pungufu pili mbolea hakuweka kiufasaha.lastly kuiva kwa nanasi kidogokidogo ni ngumu ku control usiibiwe na msimamiz


Kuhusu mihemko taarifa niliibeba juujuu bila kufanya research.bei za kuuza ni uongo,uhakika wa wateja uongo.muda wa miez 18 uongo.

Wateja wanafika shamban na bei zao.nanas chamba ni 300/500 kubwa.hapo kukata sh.50 na kupakia sh 50 hivyo unabaki na 200/400.
Likiiva ndege wanakula mnoo (hasara)
Pia uwezekano wa kuwapa wauzaji kwa mkopo wakauze kwa bei zao wakuletee chako mlichokubaliana.
Unaweza kulima ukidhan ni only 18month kumbe zikakaa upto 3yrs na kila kitu unafanya.
Ni zao fulan hivi ambalo linalimwa kimazoea na si kibiashara.
Kwa wataka akupiga hela za chapchap msilime mtalia kama
Nisaidie kufahamu haya:
1. Ulipanda umbali gani kati ya mstari na mstari na kati ya mche na mche.
2. Ulikuwa unakwenda shambani baada ya muda gani?
3. Ulizingatia nini kupata msimamizi?
 
Back
Top Bottom