Nakubaliana na wewe kwasababu huyu Juma anasifa zote za unyang'au. Hivyo siwezi kushangaa wakifanya mchezo huo.Matukio ya kutengeneza ili kuweka mazingira neutral. Hiyo gari wana ccm wameshapanga watamlipa hao waliovaa nguo za chadema ni wamaccm.
Lakini pia, wajinga pekee wanaoweza kuvamia nyumba ya mtu wakavaa Sare za Chadema wkt wanamvamia mtu ni Wanaccm. Yani unajua unaenda kuvamia, kufanya uhalifu, halafu woote mnavaa na Sare za Chama Chenu. Hii Kiki imebuma. Wajipange upya.