security guard
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 799
- 603
Puuzeni. Mhe. Juma Raibu Bado anaendelea kuwasaidia Wananchi wake na habari za upotoshaji zinazosambaa kwamba ameondoa miundombinu aliyotoa kwa Wananchi NI uongo na uzushi wa watu wanaomchafua.
----
Kesho kutwa nitachangia vifaa vya ujenzi kwa Kata za Mjini Manispaa ya Moshi ili waweze kujenga shule za sekondari za Kata,siwezi ondoa misaada niliyotoa kwa wananchi ni dhambi kubwa na haina maana yoyote sasa hayo mapipa nitayapeleka wapi!"Juma Raibu Diwani Kata ya Bomambuzi
Bora nijiuzulu nafasi yangu ya udiwani na nyingine nilizo nazo ikiwa nitafanya kitendo cha kuondoa miundombinu ya maji na hata yale mapipa niliyotoa kujikinga na UVIKO-19,hilo gazeti linatumia jina langu ili liuze"Juma Raibu Diwani Kata ya Bomambuzi.
PIA SOMA:
----
Kesho kutwa nitachangia vifaa vya ujenzi kwa Kata za Mjini Manispaa ya Moshi ili waweze kujenga shule za sekondari za Kata,siwezi ondoa misaada niliyotoa kwa wananchi ni dhambi kubwa na haina maana yoyote sasa hayo mapipa nitayapeleka wapi!"Juma Raibu Diwani Kata ya Bomambuzi
Bora nijiuzulu nafasi yangu ya udiwani na nyingine nilizo nazo ikiwa nitafanya kitendo cha kuondoa miundombinu ya maji na hata yale mapipa niliyotoa kujikinga na UVIKO-19,hilo gazeti linatumia jina langu ili liuze"Juma Raibu Diwani Kata ya Bomambuzi.
PIA SOMA:
Juma Raibu Meya aliyevuliwa Madaraka Moshi adaiwa kung'oa miundombinu aliyoiweka alipokuwa madarakani
Hii ndio taarifa mpya iliyotufikia kwenye Jumatatu hii ya Pasaka , Kwamba Mheshimiwa Juma Raibu aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Moshi Mkoani Kilimanjaro , kabla ya kung'olewa hivi karibuni , ameanza kampeni kabambe ya kuondoa miundo mbinu yote aliyojitolea akiwa madarakani . Wakati wa madaraka...
www.jamiiforums.com