Kilimanjaro: Amuua nduguye kwa kukataa kuchangia nyama ya 1,500 waliyokula

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,011
9,879
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mkazi mmoja wa Kijiji cha Ndungi katika Wilaya ya Moshi kwa tuhuma za kumuua ndugu yake, William Shoo kwa madai ya kukataa kuchangia nyama ya Sh1, 500 waliyonunua.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 11, 2021 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amesema mauaji hayo yalitokea Oktoba 10, 2021 asubuhi baada ya marehemu kugoma kuchangia nyama hiyo waliyonunua.

Kwa mujibu wa Kamanda huyo, kabla ya mauaji hayo mtuhumiwa alinunua nyama kwa kushirikiana na marehemu ambapo walikula pamoja na walipomaliza kula marehemu alikataa kuchangia chochote ndipo ugomvi ukaanza.

Amesema katika ugomvi huo, mtuhumiwa alimkata ndugu yake na kitu chenye ncha kali kichwani na kusababisha kifo chake.

"Awali kabla ya tukio hilo, mtuhumiwa alinunua nyama kwa kushirikiana na mwenzake, ambayo ina thamani ya Sh1, 500 walipokula pamoja ndugu yake huyo alikataa kulipia, ndipo ugomvi ukaanza ambapo ilipelekea kuchukua maamuzi hayo ya kumkata na kitu chenye ncha kali"

Katika tukio lingine, Jeshi hilo linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumuua John Nyaki kwa kumshambulia sehemu mbalimbali za mwili wake, wakimtuhumu kuiba mizani.

Kamanda Maigwa, amesema tukio hilo lilitokea Oktoba 6, 2021, asubuhi katika eneo la Kibosho Dakau Wilaya ya Moshi.
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mkazi mmoja wa Kijiji cha Ndungi katika Wilaya ya Moshi kwa tuhuma za kumuua ndugu yake, William Shoo kwa madai ya kukataa kuchangia nyama ya Sh1, 500 waliyonunua.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 11, 2021 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amesema mauaji hayo yalitokea Oktoba 10, 2021 asubuhi baada ya marehemu kugoma kuchangia nyama hiyo waliyonunua.

Kwa mujibu wa Kamanda huyo, kabla ya mauaji hayo mtuhumiwa alinunua nyama kwa kushirikiana na marehemu ambapo walikula pamoja na walipomaliza kula marehemu alikataa kuchangia chochote ndipo ugomvi ukaanza.

Amesema katika ugomvi huo, mtuhumiwa alimkata ndugu yake na kitu chenye ncha kali kichwani na kusababisha kifo chake.

"Awali kabla ya tukio hilo, mtuhumiwa alinunua nyama kwa kushirikiana na mwenzake, ambayo ina thamani ya Sh1, 500 walipokula pamoja ndugu yake huyo alikataa kulipia, ndipo ugomvi ukaanza ambapo ilipelekea kuchukua maamuzi hayo ya kumkata na kitu chenye ncha kali"

Katika tukio lingine, Jeshi hilo linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumuua John Nyaki kwa kumshambulia sehemu mbalimbali za mwili wake, wakimtuhumu kuiba mizani.

Kamanda Maigwa, amesema tukio hilo lilitokea Oktoba 6, 2021, asubuhi katika eneo la Kibosho Dakau Wilaya ya Moshi.
This is madness, apimwe akili kwanza, siamini kama mtu mwenye akili timamu anaweza kufanya hivyo
 
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mkazi mmoja wa Kijiji cha Ndungi katika Wilaya ya Moshi kwa tuhuma za kumuua ndugu yake, William Shoo kwa madai ya kukataa kuchangia nyama ya Sh1, 500 waliyonunua.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 11, 2021 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amesema mauaji hayo yalitokea Oktoba 10, 2021 asubuhi baada ya marehemu kugoma kuchangia nyama hiyo waliyonunua.

Kwa mujibu wa Kamanda huyo, kabla ya mauaji hayo mtuhumiwa alinunua nyama kwa kushirikiana na marehemu ambapo walikula pamoja na walipomaliza kula marehemu alikataa kuchangia chochote ndipo ugomvi ukaanza.

Amesema katika ugomvi huo, mtuhumiwa alimkata ndugu yake na kitu chenye ncha kali kichwani na kusababisha kifo chake.

"Awali kabla ya tukio hilo, mtuhumiwa alinunua nyama kwa kushirikiana na mwenzake, ambayo ina thamani ya Sh1, 500 walipokula pamoja ndugu yake huyo alikataa kulipia, ndipo ugomvi ukaanza ambapo ilipelekea kuchukua maamuzi hayo ya kumkata na kitu chenye ncha kali"

Katika tukio lingine, Jeshi hilo linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumuua John Nyaki kwa kumshambulia sehemu mbalimbali za mwili wake, wakimtuhumu kuiba mizani.

Kamanda Maigwa, amesema tukio hilo lilitokea Oktoba 6, 2021, asubuhi katika eneo la Kibosho Dakau Wilaya ya Moshi.

Jagina hawa jamaa hawaoni huu ukatili!!!!😁

Cliffhanger
Citizen B
 
Back
Top Bottom