Misss Chuga
Senior Member
- Oct 6, 2021
- 181
- 327
Pole sana.Umasikini Ni laana na dhambi kubwa sana!!! Elewa hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana.Umasikini Ni laana na dhambi kubwa sana!!! Elewa hivyo
Suala sio umasikini, suala ni kukiuka makubaliano. Inaudhi sana. Ni afadhali ukatae mapema au hata unidanganye kwamba, "isee yaani mfukoni sina kitu kabisa", nilipe kwa ridhaa yangu, roho inakuwa radhi kabisa, kuliko kukubaliana na baada ya mlo kukataa, tena kijeuri!!Umasikini mbaya sana ........
umasikini ni laana.........
ukiambiwa hivi elewa
dhambi kubwa? kwani Nani anayeleta umasikini? 3/4 ya dunia nzima Ni maskiniUmasikini Ni laana na dhambi kubwa sana!!! Elewa hivyo
Kitimoto ya buk jero?Itakua kitimoto. Ile kitu tamu aisee.
Hapo ndipo unakosea.Mbona humu tunaambiwa kila mchagga Tajiri!
Robert HarielUmasikini mbaya sana ........
umasikini ni laana.........
ukiambiwa hivi elewa
Bado sana kiongozDunia inafikia ukingoni!
Tulishawazoea watu wa huko. Mmea wa Arusha katika ubora wake. Halafu oohh, Kilimanjaro tumestaarabika. Huo ndio ustaarabu ?Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linamshikilia mkazi mmoja wa Kijiji cha Ndungi katika Wilaya ya Moshi kwa tuhuma za kumuua ndugu yake, William Shoo kwa madai ya kukataa kuchangia nyama ya Sh1, 500 waliyonunua.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Oktoba 11, 2021 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro, Simon Maigwa amesema mauaji hayo yalitokea Oktoba 10, 2021 asubuhi baada ya marehemu kugoma kuchangia nyama hiyo waliyonunua.
Kwa mujibu wa Kamanda huyo, kabla ya mauaji hayo mtuhumiwa alinunua nyama kwa kushirikiana na marehemu ambapo walikula pamoja na walipomaliza kula marehemu alikataa kuchangia chochote ndipo ugomvi ukaanza.
Amesema katika ugomvi huo, mtuhumiwa alimkata ndugu yake na kitu chenye ncha kali kichwani na kusababisha kifo chake.
"Awali kabla ya tukio hilo, mtuhumiwa alinunua nyama kwa kushirikiana na mwenzake, ambayo ina thamani ya Sh1, 500 walipokula pamoja ndugu yake huyo alikataa kulipia, ndipo ugomvi ukaanza ambapo ilipelekea kuchukua maamuzi hayo ya kumkata na kitu chenye ncha kali"
Katika tukio lingine, Jeshi hilo linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumuua John Nyaki kwa kumshambulia sehemu mbalimbali za mwili wake, wakimtuhumu kuiba mizani.
Kamanda Maigwa, amesema tukio hilo lilitokea Oktoba 6, 2021, asubuhi katika eneo la Kibosho Dakau Wilaya ya Moshi.
Mzazi anamchoma mwanaye kisa 100 Tena wakumzaa sembuse huyu ....ukichaa unatawala sanaThis is madness, apimwe akili kwanza, siamini kama mtu mwenye akili timamu anaweza kufanya hivyo