GE2025 Kilikuwa kihoja kama si mshangao

GE2025 Kilikuwa kihoja kama si mshangao

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
15,206
Reaction score
25,398
Nilisikia vibaya au Ndivyo ilikuwa?.

Baada ya kupewa nafasi kutoa assessment za uangalizi kwenye uchaguzi siku ya kupewa cheti cha kuchaguliwa kuwa mshindi wa uchaguzi.

Kuna mama mmoja nadhani alikuwa ni wale waangalizi wa uchaguzi, alisifia sana nchi yetu akimtaja Mwl. JKNkuwa kiongozi shupavu barani afrika na ambaye aliipeperusha vyema bendera ya nchi yetu kwa wkt wake.

Huyo mama alimsifia mteule na kilichoshangaza ni pale alipoamua kupiga vigeregere kwa furaha.
Sasa ndg zangu, toka lini muangalizi wa uchaguzi akamsifia, akashangilia na kupiga mbiu ya furaha, hivi huwa inakuwa hivyo?.
 
Nilisikia vibaya au Ndivyo ilikuwa?.

Baada ya kupewa nafasi kutoa assessment za uangalizi kwenye uchaguzi siku ya kupewa cheti cha kuchaguliwa kuwa mshindi wa uchaguzi.

Kuna mama mmoja nadhani alikuwa ni wale waangalizi wa uchaguzi, alisifia sana nchi yetu akimtaja Mwl. JKNkuwa kiongozi shupavu barani afrika na ambaye aliipeperusha vyema bendera ya nchi yetu kwa wkt wake.

Huyo mama alimsifia mteule na kilichoshangaza ni pale alipoamua kupiga vigeregere kwa furaha.
Sasa ndg zangu, toka lini muangalizi wa uchaguzi akamsifia, akashangilia na kupiga mbiu ya furaha, hivi huwa inakuwa hivyo?.
Huyo mmama anashangilia alikuwa dogo The Icebreaker
 
Specioza Kazibwe, maza alikua makamu wa Rais wa Museveni way back huko. Kwahiyo ni wale wale.
 
Back
Top Bottom