Jbst
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,925
- 3,951
Nimejaribu kufikiria tu huko Hanang kwa yaliyotokea sasa hebu tujiulize ile milima ya Mwanza na yale mawe makubwa itakuwaje? Tuombe Mungu isitokee kabisa huko mwanza.
Kuna mawe ni makubwa kuliko hata nyumba ya gorofa moja yapo milimani huko yananing'inia tu, haya yakiporomoka mpka huku tambarare hakuna kifaa chochote cha kuyasogeza pembeni kwasababu ni makubwa sana.
Au labda milima ya mwanza haina majanga ya asili?
Nimejaribu kuwaza tu ila kuna hatari sana huko
Kuna mawe ni makubwa kuliko hata nyumba ya gorofa moja yapo milimani huko yananing'inia tu, haya yakiporomoka mpka huku tambarare hakuna kifaa chochote cha kuyasogeza pembeni kwasababu ni makubwa sana.
Au labda milima ya mwanza haina majanga ya asili?
Nimejaribu kuwaza tu ila kuna hatari sana huko