BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 7,709
- 17,297
Hivi kilichotokea mlima Hanang na Kawetele hayawezi kutokea Mwanza? Itakuwaje na ile milima ya mawe?
Pia soma
Pia soma
Mbona anaongea kama kuku aliyekatwa kichwa?Hivi kilichotokea mlima Hanang na Kawetele hayawezi kutokea Mwanza? Itakuwaje na ile milima ya mawe?
😃😀Mbona anaongea kama kuku aliyekatwa kichwa?
Una uhakika sisi members wa humu tunajua kilichotokea huko kijijini kwenu bila wewe kutujuza?
Itakuwa hatari kubwa sana. Watakufa wengi mnoHivi kilichotokea mlima Hanang na Kawetele hayawezi kutokea Mwanza? Itakuwaje na ile milima ya mawe?
Madam mbona kama hujamalizia maelezo!Mawe na kifusi chenye mchangani ni vitu viwili Kabisa
Askari wa Zelensky mna hasira muda wote.Mbona anaongea kama kuku aliyekatwa kichwa?
Una uhakika sisi members wa humu tunajua kilichotokea huko kijijini kwenu bila wewe kutujuza?
Pale Bismarck rock gavana Bismarck alileta njemba Zilizo shiba zilivute jiwe la juu lidondoke zikashindwa akaishia kuyaita hayo mawe Bismarck rock hayo mengine sijuiHivi kilichotokea mlima Hanang na Kawetele hayawezi kutokea Mwanza? Itakuwaje na ile milima ya mawe?
Hizo njema zilisimama upande gani ili kulivuta hilo jiwe, au zamani halikuwa limezungukwa na maji?Pale Bismarck rock gavana Bismarck alileta njemba Zilizo shiba zilivute jiwe la juu lidondoke zikashindwa akaishia kuyaita hayo mawe Bismarck rock hayo mengine sijui
Angekuwepo Bismarck tungemuuliza.Hizo njema zilisimama upande gani ili kulivuta hilo jiwe, au zamani halikuwa limezungukwa na maji?
Itakuwa kwa mujibu wa Safari channelAngekuwepo Bismarck tungemuuliza.