Kilichonishangaza Rombo

Simu yako inakua ipo roaming,kama una package ya roaming unafanya mawasiliano kawaida kwa rate za roaming,
 
Upo sahihi mkuu...ata mimi huwa inanitokeaga
 
Mleta mada yupo sahihi.
Laini yoyote ukiingia nayo rombo maeneo ya karibu na mpaka wa Kenya na Tanzania huwa inabadilika na kuleta taarifa za Kenya
 
Mitandao haina mipaka mkuu mji wa Rombo upo karibu sana na kenya hivyo minara ya simu inaingiliana. Ina maana umeshindwa kuelewa hata ilo jambo dogo kiasi hicho mpk umejiuliza kama Rombo ni Kenya. Be serious lower thinker
 
Ni kweli kabisa sisi tunaoishi horohoro na wachache wa duga tunatumia sana safari com kwenye internet kuliko mitandao yetu
 
Nilipofika vanga ambapo nimekua nimeingia Kenya tigo tz ikakata ikabaki mara safaricom mara tigo Kenya nilipofika mpakani siku ya kurudi ikarudi tigo tz yangu na kitendo cha kufika horohoro upande wa Kenya sms hazitoki Wala kuingia
Basi hapo kuna tatizo. Itabidi wazuie hiyo ishu kama Kenya wanavyofanya. Maana huko kwao haitokea kama huku kwetu. Nimeiona mwingine hata amesema Tunduma pia huwa inatokea
 
Mitandao haina mipaka mkuu mji wa Rombo upo karibu sana na kenya hivyo minara ya simu inaingiliana. Ina maana umeshindwa kuelewa hata ilo jambo dogo kiasi hicho mpk umejiuliza kama Rombo ni Kenya. Be serious lower thinker
Vipi maeneo ya mjini minara ni mingi lkn sijawahi kuona mitandao ikiingiliana.
Au minara ya huku kwetu ina mipaka?
Be serious lower thinker too...
 
Basi hapo kuna tatizo. Itabidi wazuie hiyo ishu kama Kenya wanavyofanya. Maana huko kwao haitokea kama huku kwetu. Nimeiona mwingine hata amesema Tunduma pia huwa inatokea
Yaani mpakani mwa tz Na Kenya hapo horohoro network ya tz kushika n kusuasua
 
Vipi maeneo ya mjini minara ni mingi lkn sijawahi kuona mitandao ikiingiliana.
Au minara ya huku kwetu ina mipaka?
Be serious lower thinker too...
Sijamaanisha minara kama voda na tigo naongelea minara inayoingiliana kama Vodacom na safari com au airtel TZ na Airtel UG kwa kuwa subscriber ni mmoja inapokezana na kuingiliana unapobadilisha nchi sasa kwa kuwa mtandao wa simu sio kama mpaka wa nchi au ukuta lazima iingiliane. Sijui kwa nini uelewi kitu ambacho hata mtoto wa miaka mitano anakielewa kwa kujiongeza tu. We wa wapi hauna hata chembe ya exposure duh taifa letu tuna kazi sana
 
Na ukiwa unatokea kenya unaingia upande wa laset kenya au loitoktok kama unatumia safarcom itaandika karibu vodacom tanzania.ina maana laset ni tanzania
.use your brain pale ni karibu na mpaka na mawimbi ya mitambo ya simu haina mipaka.inavuka had mwisho wa nguvu zake.na haizid 10 km from mnara ulipo.sasa hapo unakuta mnara upo laset wa safaricom na voda upo tarakea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…