Kilichonipata leo, nimekoma!!


hahaaaaaaaa mkuu usinichekeshe eti akikuroga leta mrejesho,atajuaje kalogwa???
 
Lakoni mwanawane sii ulimgegeda ule usiku sasa tatizo wapi?
 
Boya ww...mwanaume gani unapelekeshwa na wanawake
 
Boya ww...mwanaume gani unapelekeshwa na wanawake
Duuh,haya bhana lakini kwa mazingira yalivyokuwa,busara pekee ndo ilikuwa ya kulinda heshima yangu,kwani vinginevyo kitu ambacho kingetokea ingekuwa gumzo mtaa mzima!!!
 
Hata ijitetee huku ujue ntakukomesha. Mpuuzi sana wewe. Unadhani huku sifiki
 
pole sana mkuu ila hata huyo uliyezaa naye si mstaarabu siku zote alikuwa wapi na huduma muhimu za mtoto alikuwa anapata wala haina haja ya kurudiana naye,ila huduma za msingi kuhusu mtoto mpe,pili huyo wa katesh asikutishe maneno tu hayo fanya mambo mengine.
 
Pole sana mkuu, hao wanawake sijui wamekuchukuliaje! Huyo mwenye watoto12 kwani mlipanga kuoana? Kama sio kwa nn ukubali akufanyie fujo wakati yeye ndo mzinzi namna 1 na ushahidi upo? Huyu muirak kashindwa kukuelewa vile ulivomalizana na mama mtoto wako ndo maana akaona achukue chake mapema, na labda ni mpiga dili mzoefu!
We we nae umeonyesha uzaifu mkubwa kwa kuanza kulialia ndo mana wamekupanda' alivokuja kwa hasira ungemuelewesha kuwa ulienae ndo mkeo mtarajiwa, hata kama angemuacha mtt lakini ungekuwa umejihami kwa muirak lazima angekuwa mpole na asingeondoka kwa kujua yupo na MTU anaejiamini" ona sasa umekosa kila kitu!

Usiogope muirak hawezi kukuloga, anakutisha tu vile kakusoma muoga muoga.

Kati ya hao wawili hakuna Mke hapo, kidoogo Huyo mwenye watoto 12 anaeleweka"
 
Amemtishia kweli kumuua mtoto au umenogesha tuu, hapo hamna hata mmoja anaefaa yaani umuache mtoto wako mchanga sababu ya mwanaume?? Umnyonge mtoto sababu ya laki??
 
Jamani hapo nina kosa kweli???kama ndiyo kosa langu ni nini?πŸ˜±πŸ™πŸ™πŸ™
Kosa kubwa kabisa unalolifanya katika maisha yako ni KUTELEZA(kufanya mapenzi bila kutumia Condom).

Haya mengine yote ni ya kibinadamu coz we all make mistakes...

HAKIKISHA UNATUMIA CONDOM MAISHA YAKO YOTE.
 
Jipange kulea mwanao, achana na kiruka njia wa Katesh. Wenzio wanatafuta watoto wewe unawaza mwanamke ambaye mmekutana juu kwa juu.
 
Mkuu hayo maneno aliyotamka kua utamtafuta sio ya kuyapuuzia kabisa, kuna wengine wanaeza kua wanatania ila wengine sio watu wazuri kabisa, na wanamaanisha wanachosema, miba ipo mkuu. Kwa ushauri tuu mtafute huyo muiraq uongee nae taratibu na kumuomba sana msamaha kwa kutomwambia kabla kua una mtoto. Nadhani atakusamehe
 
Hapo hamna mke hapo, nina penda sana kushughulika na mambo ya mahusiano kwa kujitazama mwenyewe na siyo kutazama partners wangu! yaani kwa kitendo tu cha kuwa ndani ya mahusiano na watu wa namna hiyo inaonekana kabisa na wewe tabia yako au level yako ya kufikiria ipo tu katika kiwango sawa na wao! fanyia kazi hilo swala la mtoto mdogo, kamwe mama hawezi muacha mtoto wake. huyo mwingine asikutishe, ingawa pia amefanya yote hayo katika hali ya hasira na wewe msimamo wako kutoeleweka ulichangia. Kaa utulie solve haya mambo yakiisha jirekebishe wewe kwanza am sure utaanza kuatract wanawake wanao faa kuwa wake
 
Consequences of ur actions bro....sasa kusuffer ndo kunakuja....Kaza buti uyashinde
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…