tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 22,378
- 19,213
- Thread starter
- #121
kuna mwingne leo kamfunga mtoto mchanga wa siku moja tena wa kumzaa mwenyewe plasta mdomoni na puani,dah mimi moyo unashtuka kila nikisikia habari za watoto nachanganyikiwa,i love kids hawaelewi chochote then wanauwawa na mateso kama hayo,mmm inauma,
Mkuu, hukutoa taarifa Maendeleo ya Jamii au dawati la jinsia? Huyo mshenzy naye anastahili adhabu sawasawa na matendo yake.