tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 22,378
- 19,213
- Thread starter
- #81
Yaani ktk Uzi wako ulitakiwa uainishe sababu ya kifo chake mi sina uhakika Kama hao uliowataja ndo eti wamemuuwa!!
Mtoto amekufa kwa pumu (pneumonia) baada ya kufungiwa kwenye boksi na hao wendwazimu kwa miaka 4! Utasemaje kwamba hawajamuua wao? You can't be serious! Think BIG mkuu.