Mkosoaji..
New Member
- Apr 7, 2012
- 4
- 1
Yeye alisema kama Lema,sasa Chama ndio kimeamua kukata Rufaa hivyo ni lazima aheshimu maamuzi ya Chama la sivyo ajitoe kwenye Chama...sioni ukigeugeu wowote hapa maana hata yeye alisema anawasikiliza viongozi wake wa juu kuhusu Tamko watakalotoa.