Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,314
- 7,730
Huyu Joyce angekuwa wazi tu kwa mumewe kwamba hamfikishi then either jamaa ajitahidi kukaza buti au watengane kiustaarabu. Kwenda kutembea nje ya ndoa haikuwa sawa. Haya sasa kaaibika kwa kutembea nje ya ndoa na wamemjua kuwa kumbe akifika kileleni anakuwa 'vigorous'!!!!
Wanaume nao wakikamata wake za watu huwa wanatoa maufundi yooote na matokeo yake ndio hayo..KUNG'ATWA!!
Duh, mwana nimeikubali commnt yako) u ril scientist)