kila cku 2taendelea kulalamika na vitu vcvykua na mcngi... Hao wamejitaidi leo kulinganisha na awards zote zilizopita, kuanzia kupga live band kushlikisha wasanii wa ndani 2 ktoa burudan na v2 vngne vingi.!! Ka mtashndwa kuwapongeza kwa hcho kdgo daima 2tabak nyma kila cku, ni bora 2kawapa moyo au ka vp anzisheni za kwenu 2zione.... Unakuta m2 ajapiga ata kula alaf ndo wakwnza kulalamika humu cjui unategemea nin