Akha babu kubana nywele siku mojamoja, mavilemba kila kukicha inahuuuuuuuu, sura yenyewe inalipa sema tu mambo ya dini/imani yanambana, kama sio hivyo mbona mngekoma....
Waislamu huwa hawali kwa mkono wa kushoto. Kwahiyo hiyo protoko inayozungumziwa hapa ni dhahiri si ya kiislamu. After all hivi hizi protoko aliziweka nani kiasi kwamba inakuwa ni big deal ukizivunja????!!!!!!!!!!!!!!!!
Waislamu huwa hawali kwa mkono wa kushoto. Kwahiyo hiyo protoko inayozungumziwa hapa ni dhahiri si ya kiislamu. After all hivi hizi protoko aliziweka nani kiasi kwamba inakuwa ni big deal ukizivunja????!!!!!!!!!!!!!!!!