Mama Salma wajemeni si haba, mzee JK alituliaga ati!!
Uma hushikwa na mkono gani vile?
Kapendeza kweli ila hayo maua sijui walimuwekea ya nini kichwani.?
Kapendeza kweli ila hayo maua sijui walimuwekea ya nini kichwani.?
Source: Michuzijr
Uma hushikwa na mkono gani vile?
First Lady wetu ni mzuri sana na ukiona mtu anaonekana uzuri wake mpaka uzeeni basi ujue ujana wake alikuwa ni mzuri mara 100
Waislamu huwa hawali kwa mkono wa kushoto. Kwahiyo hiyo protoko inayozungumziwa hapa ni dhahiri si ya kiislamu. After all hivi hizi protoko aliziweka nani kiasi kwamba inakuwa ni big deal ukizivunja????!!!!!!!!!!!!!!!!