Kile kipindi ambacho nilipotea

Nyamisati...kaka wale wenzako wenye tunguli za kuvutia samaki uliwakuta...pale hawavui kwa kujichosha...
Samaki huvutwa kuja nch kavu kwa tunguli
 
hivi haujapata hata dawa tumroge yule jamaa wamagogonia kabla hajaamia dodoma,kama vipi nipe msaada wakwenda kuzimu nikatete na wale jamaa wakule tumalize kazi
Umechelewa...alipoapishwa tu...akapewa na walinzi wa Papa...hautoelewa wewe bado ukakuwa
 
Nyamisati...kaka wale wenzako wenye tunguli za kuvutia samaki uliwakuta...pale hawavui kwa kujichosha...
Samaki huvutwa kuja nch kavu kwa tunguli
Wapo kina mzee wa Kina.. Achana kabisa na ile number
 
Endeleza story...walinzi sisi lazima...tujifunze somo ra maarifa na hali za kichawi machale....nilifika hapo 2009
 
Ukimaliza nipatie contacts za huyo rasta..
 
Dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…