Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
IPO. unaamka Saa kumi alfajiri unavaa vizuri Unaenda kwenye mihangaiko. Fanya juhudi utatajirika tuMkuu hivi hamna dawa ya utajiri isiyokuwa na masharti
IPO. unaamka Saa kumi alfajiri unavaa vizuri Unaenda kwenye mihangaiko. Fanya juhudi utatajirika tuMkuu hivi hamna dawa ya utajiri isiyokuwa na masharti
Tutaenda nao sawa kiroho safi bila chukiMshana Jr...... nausubiri Ule uhondo. Halafu jamaa wanaojidai wajuaji watabisha
Ipo kuna mahal ntakuelekeza tu basi utaenda.Mkuu hivi hamna dawa ya utajiri isiyokuwa na masharti
Nampa hela ili asiendelee na story!Kastory katakuwa katamu sana. Tunasubiri mwendelezo
Cha ajabu hawakupendi lakini wakiona uzi wako wanaukimbilia.Mimi sikuchukii
Nikiwa pale bandari bubu upande wa pili wa bahari nikamwona mtu mrefu sana akiwa kavaa kanzu nyeupe na kitambaa kichwani Chenye rangi nyeusi na nyeupe hiki kitambaa kilimfunika uso wote kasoro machoNimetamani kusimulia hiki kisa muda sasa lakini waungwana walikuwa hawajatoa ruhusa bado
Nilipotea kwa vipindi viwili vyenye jumla ya siku 23, kati ya siku hizo ni siku chache sana nilikuwa nje ya Tanzania, nyingine zote nilikuwa hapa hapa ila kwenye dunia isiyoaminika na wengi, dunia ya ushirikina na uchawi katika uhalisia wake
Nitangulie kuomba radhi sitaandika kila kitu bali yale ya muhimu tu nitakayoona ni muhimu kuandika
Nilitoka Dar kwa dharura kuelekea sehemu ambako nitapata kile kinachonipeleka huko, safari yangu ikanipeleka mpaka Nyamisati, nikalala pale...
Siku ya pili asubuhi nikadamkia bandari bubu iitwayo gezani.... vituko vilianzia hapo
Nimeshampa hela ili asiendelee!....kwa hiyo haendelei tena!Endeleaa
Tupe ubuyu wa huko mshana!, nami nikuhadithie niliyokutana NAyo gambosi ama gamboshi muiitavyo 2008Kuhamia Dodoma zimebaki Story mark my words today 27/11/2016