muhosni
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 1,108
- 152
TBC taarifa, Bukoba
Amesema ukiritimba wa maafisa wa serikali umezidi hakuna hata mmoja anafanya kazi. Amesema mkubwa wao anarandaranda na watendaji wanazuga tu maofisini
Amesema siyo lazima ule rushwa ndio uonekane fisadi bali hata usipotimiza wajibu wako. Kila mwenye cheo anajifanya mangi meza. Haijulikani serikali inaelekea wapi
Amesema ukiritimba wa maafisa wa serikali umezidi hakuna hata mmoja anafanya kazi. Amesema mkubwa wao anarandaranda na watendaji wanazuga tu maofisini
Amesema siyo lazima ule rushwa ndio uonekane fisadi bali hata usipotimiza wajibu wako. Kila mwenye cheo anajifanya mangi meza. Haijulikani serikali inaelekea wapi