Kilaini: uwajibikaji na utawala bora umeshindikana

Kilaini si ndiye aliyetuambia kuwa Jakaya alikuwa chaguo la Mungu; imekuwaje tena? Je , Mungu alikosea?

Nadhani tumsamehe, inawezekana kwa wakati huo alikuwa hajagundua usanii wa magamba. Kwa kauli hii sasa naamini ametubu dhambi zake. Tumpe moyo aongeze nguvu ya mashambulizi hadi kieleweke.
 
Back
Top Bottom