Kila nitakae mpitia lazima apate Mimba

Kila nitakae mpitia lazima apate Mimba

Wandugu nahisi ninatatizo kwasababu kila msichana nitakae fanyanae mapenzi lazima apate mimba yani hata kama anajulikana ni mgumba.

Nikitumia kinga na ikatokea imetoboka bahati mbaya ujue ni mimba. Hii inatokea hata kama msichana hayupo danger days sasa najiuliza hii inatokana na nini?

NAHISI UNA ngoma haiwezekani
 
Wandugu nahisi ninatatizo kwasababu kila msichana nitakae fanyanae mapenzi lazima apate mimba yani hata kama anajulikana ni mgumba.

Nikitumia kinga na ikatokea imetoboka bahati mbaya ujue ni mimba. Hii inatokea hata kama msichana hayupo danger days sasa najiuliza hii inatokana na nini?

kwaiyo???
 
una nyota ya mimba ,acha kuongopa weye ni alwatan nyeupe hakuna kupasuka wala kutoboka
 
Una dudu refu na una tumia nguvu sana kusugua, ndio mana condom kuchanika na sababu ya urefu a fufu manii hufika haraka kunako na mtoto hutungwa .
 
Wapitie mafisadi tuone kama watapata mimba au tezi dumeeee!!
 
Back
Top Bottom