LOVI MEMBE
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,122
- 183
Wandugu nahisi ninatatizo kwasababu kila msichana nitakae fanyanae mapenzi lazima apate mimba yani hata kama anajulikana ni mgumba.
Nikitumia kinga na ikatokea imetoboka bahati mbaya ujue ni mimba. Hii inatokea hata kama msichana hayupo danger days sasa najiuliza hii inatokana na nini?
NAHISI UNA ngoma haiwezekani