Kila nitakae mpitia lazima apate Mimba

Kila nitakae mpitia lazima apate Mimba

huyo anajishaua tu ni wale wanaume wababe kwenye mahusuano akitaka siku yoyote analazimisha bila kujali tarehe halafu wakipata mimba anawakimbia nakuwatusi
 
Wandugu nahisi ninatatizo kwasababu kila msichana nitakae fanyanae mapenzi lazima apate mimba yani hata kama anajulikana ni mgumba.

Nikitumia kinga na ikatokea imetoboka bahati mbaya ujue ni mimba. Hii inatokea hata kama msichana hayupo danger days sasa najiuliza hii inatokana na nini?

inaonekana hujali kabisa afya yako,kila mtu utembee nae bila kinga hadi apate mimba? kweli hufai,na uvae mpira upasuke we kwani una maumbile gani au unageuza kitanda uwanja wa chamazi?na hao wadada wanaokwambia wanapata mimba hata siku zisizo za hatari ni wangapi?na wagumba uliofanikiwa kuwapa mimba ni wangapi? basi wewe ni abnormal!
 
Wandugu nahisi
ninatatizo kwasababu kila msichana nitakae fanyanae mapenzi lazima apate
mimba yani hata kama anajulikana ni mgumba.

Nikitumia kinga na ikatokea imetoboka bahati mbaya ujue ni mimba. Hii
inatokea hata kama msichana hayupo danger days sasa najiuliza hii
inatokana na nini?

dogo umejipromote dah et ata mgumba? et hata kama hayuko siku hatar! haiwezekan
 
mkuu hebu jaribu kupumuliwa na wewe tuone je utapata mimba!!
 
Wandugu nahisi ninatatizo kwasababu kila msichana nitakae fanyanae mapenzi lazima apate mimba yani hata kama anajulikana ni mgumba.

Nikitumia kinga na ikatokea imetoboka bahati mbaya ujue ni mimba. Hii inatokea hata kama msichana hayupo danger days sasa najiuliza hii inatokana na nini?
Jf Academia
 
Mmmh kaziweke benki ya megu utapata mihela mingi. Wamefika wangapi sasa......
 
Wandugu nahisi ninatatizo kwasababu kila msichana nitakae fanyanae mapenzi lazima apate mimba yani hata kama anajulikana ni mgumba.

Nikitumia kinga na ikatokea imetoboka bahati mbaya ujue ni mimba. Hii inatokea hata kama msichana hayupo danger days sasa najiuliza hii inatokana na nini?

Ha ha ha hadi wagumba.
 
Sawa. Sasa naomba tuweke rekodi zako sawa kulingana na experience uliyopitia kma maelezo yako yanavyojieleza.
1(a)Ulishawapa mimba wanawake wangapi?
(b)Una watoto wangapi mpka saivi?
 
Wandugu nahisi ninatatizo kwasababu kila msichana nitakae fanyanae mapenzi lazima apate mimba yani hata kama anajulikana ni mgumba.

Nikitumia kinga na ikatokea imetoboka bahati mbaya ujue ni mimba. Hii inatokea hata kama msichana hayupo danger days sasa najiuliza hii inatokana na nini?

Kwa hiyo waona uzinzi ni jambo la kujisifia ee. Mapenzi sio uchafu na uasherati wa kiwango hiki. Uje kujisifu hapa na siku ukiukwaa.
 
Utakuwa una zingiziwa tu mkuu , kuwa makini kwa sio wewe mwanaume unaye Mwaga WAZUNGU #weupe .... coz kama ndo hivyo dunia nzima hii ingekuwa imefurika kwa nyomi ya kutisha, na TZ tungekuwa na population zaid ya china na India. kama wanaume wote wangekuwa wana uwezo kama wako.
 
Back
Top Bottom