Quinine Mwitu
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 5,530
- 6,120
Usiwe mwenye kukata tamaa ingawa kama no kicheche Sikh ukimkuta na man mwingine jiandae kisaikolojiakwahiyo nitumie mbinu gani
Usiwe mwenye kukata tamaa ingawa kama no kicheche Sikh ukimkuta na man mwingine jiandae kisaikolojiakwahiyo nitumie mbinu gani
...... chuo sio sehemu ya kupalilia mapenzi dogo.... kumbuka hyo ndo last chance uliyonayo ili kusahihisha makosa yako ya nyuma......Wakuu, mimi nashindwa kuelewa inakuaje kila msichana nayemtongoza ananambia ana mtu.
Niko chuo mwaka wa kwanza hadi sasa nimetokea wasichana kama watatu ila kila mmoja ananambia ana mtu na kunitolea nje.Pia kabla ya kufika chuo ilikuwa hivyo hivyo.
Naombeni mawazo yenu wana MMU na mimi niko vzuri tu kimuonekano na nahitaji kuwa na msichana kwa sasa.
Kama begi mgongoni n mlo mmoja basi wana mtuWakuu, mimi nashindwa kuelewa inakuaje kila msichana nayemtongoza ananambia ana mtu.
Niko chuo mwaka wa kwanza hadi sasa nimetokea wasichana kama watatu ila kila mmoja ananambia ana mtu na kunitolea nje.Pia kabla ya kufika chuo ilikuwa hivyo hivyo.
Naombeni mawazo yenu wana MMU na mimi niko vzuri tu kimuonekano na nahitaji kuwa na msichana kwa sasa.
HahahahahTafuta pesa....wote watakua single
Njia sahihi ni matumizi ya pesa mana hapo hutafuti mpenzi bali ni mtu wa kumaliza haja zako so ni lazima ugharamikemtu ninaye sema yuko mbali.Kwahyo kuna njia maalumu ya kuwatongoza Hawa viumbe au
Duh, halafu mtu kama huyu miaka ya baadae atakuja kusema kakosa ajira! sasa kama msichana tu unashindwa kumtongoza, utaweza kutongoza Interviewers Panel ya watu kama 10 ili wakubali kukupa kazi/ajira? KWELI, HAMNAZO KABISAAAA JUU LABDA CHINI!Wakuu, mimi nashindwa kuelewa inakuaje kila msichana nayemtongoza ananambia ana mtu.
Niko chuo mwaka wa kwanza hadi sasa nimetokea wasichana kama watatu ila kila mmoja ananambia ana mtu na kunitolea nje.Pia kabla ya kufika chuo ilikuwa hivyo hivyo.
Naombeni mawazo yenu wana MMU na mimi niko vzuri tu kimuonekano na nahitaji kuwa na msichana kwa sasa.
nipe mbinu mkuuTatizo hauna Utundu wa Kuongea na Msichana
Hayo mambo ya muonekano mzuri waache hao hao unaowatongoza
Mwanamke anadanganywa na masikio yake.. Mpe maneno matamu..
We hujawahi kuona mtu ana sura mbovu lakini mademu wanampendaa.. watu wa namna hiyo huwa ni wacheshi, wanajichanganya na watu mbalimbali bila ubaguzi, hawana makuu kwa ujumla, pia huwa ni wakarimu sana.. hapo mademu huwa wanajileta wenyewe tu..halafu waswahili waanza kusema jamaa anatumia Ndumba.
Cha Msingi Badilika uwe kama hao wenye sura mbaya ila mademu wanamuona ni HB
sio kama nashindwa kutongoza ila wana watuDuh, halafu mtu kama huyu miaka ya baadae atakuja kusema kakosa ajira! sasa kama msichana tu unashindwa kumtongoza, utaweza kutongoza Interviewers Panel ya watu kama 10 ili wakubali kukupa kazi/ajira? KWELI, HAMNAZO KABISAAAA JUU LABDA CHINI!
Nunua sub woofer mchina ya elfu 65 - 90 weka geto.kwahiyo nitumie mbinu gani
Tunatongozaje mkuu?Km kila mtu ana mtu inakuwaje wewe siyo mtu wa mtu? Sema unatafuta mchep mkuu na km siyo hvyo basi hujui kutongoza.
Km kila mtu ana mtu inakuwaje wewe siyo mtu wa mtu? Sema unatafuta mchep mkuu na km siyo hvyo basi hujui kutongoza.