Kila ninayemtongoza ana mtu

Kila ninayemtongoza ana mtu

una miaka mingapi dogo nikupe mbinu Kali za kula papuchi za watoto wakali
 
Mkuu akija kwa njia ya mkwanja usijali mpokee kwa tahadhari ila akikupa piga shoo yakiutuuzima utakuta siku nyingine kakija wakati wa kuondoka unapewa bye bye ... Haombi hata nauli
 
Hivi huwa mnatongozaje au zile za kulialia hadi kupiga goti au kusema nakuona kwenye glasi

Hizo za kizamani

We tafuta mpunga tu mwite pub MPE wine fresh akilainika mvute chemba piga mashine kibingwa kesho yake utashangaa unaitwa bebi

So hapo kazi kwako tu kusugua haswa
 
Back
Top Bottom