monta
JF-Expert Member
- May 6, 2014
- 1,297
- 1,861
mwambie mkuuUsimtishe mkuu..
Mwaka wa kwanza ndio mwaka wa kujifunza maisha ya chuo
Muache kwanza afanye anayoyatamani hizo Supplementaries, Carry-Overs zitambadilisha hukohuko mbele kwa mbele..
mwambie mkuuUsimtishe mkuu..
Mwaka wa kwanza ndio mwaka wa kujifunza maisha ya chuo
Muache kwanza afanye anayoyatamani hizo Supplementaries, Carry-Overs zitambadilisha hukohuko mbele kwa mbele..
siku hizi hakuna mkuuMiujiza ilikuwa wakati wa yesu
kweli kabisaWell said huyu jamaa ndomtu humu ndani wngn ni virus tu
mimi najichanganya nao sana na marafiki zangu wengi wasichanaIla mkuu..!
utundu wa maneno ya kuongea na demu.. ni uwezo binafsi wa mtu ambao haufundishwi..
Sasa wewe bhana usilazimishe kitu usichokiweza.. maana hata confidence ya kuongea na dem ni tabia ... sasa sidhani kama una tabia ya kujichanganya kuongea na madem katika mazungumzo ya kawaida au unakutana nao wakati wa kuwatongoza tu!
vyote nafanya mkuuVaa vizuri ,paka mafuta, jipulizie unukie ,ongea kama mwanaume unaejitambua acha kuwatizama sana wadada, utapata mrembo mzuri utafurahi na roho yako.sawa mwanachuo?
nyeto nimeacha mda mrefu sanaVijana wa kiume acheni nyeto ndizo zinakill confidence wanawake wametoka kwny ubavu wetu tu
mtu lakin na mim pia si MTU!?Ulitaka awe na mbuzi?
kwann bosskwa mtindo huo..
ajiandae kutongozwa na msichana
me sitaki Malaya mkuuyani una hela alaf unahangaika kutongoza...acha wehu....mbona watoto kibao wanauza papuch....au shida yako kutongoza...?kama shida yako papuchi ibuka pande zile ukanunue URODA
kusoma nasoma na najitambua sanaDogo soma kwanza... acha hayo mambo ukiwa chuo. Uta disco man.
Ww soma kwanza.. tafuta kazi... pata mkwanja wa maana... mbona watajileta wenyewe... utawala mpaka na mayai yao...
miaka 21 mkuuuna miaka mingapi dogo nikupe mbinu Kali za kula papuchi za watoto wakali
sawa mkuu ila lazima akubali kwanzaMkuu akija kwa njia ya mkwanja usijali mpokee kwa tahadhari ila akikupa piga shoo yakiutuuzima utakuta siku nyingine kakija wakati wa kuondoka unapewa bye bye ... Haombi hata nauli![]()
hapo itakua unabaka sasaNimakosa makubwa mwanaume kutongoza mwanamke. Piga one night stand den mapenzi yanaanzia hapo.
pesa ipo kaka kimtindoLeo hii tuu nimezikataa papuchi tatu, nakula ya nne. Pesa baba pesa
nilimQuote huyo dada hapo (nadhani sijakosea jinsia)kwann boss
sasa nikitokea darasa zima afu wakikataa wote!!from ur name ww ni msambaaa bila shaka wa korogwe.. ww tokea hta darasazima tu...
takenHivi huwa mnatongozaje au zile za kulialia hadi kupiga goti au kusema nakuona kwenye glasi![]()
Hizo za kizamani
We tafuta mpunga tu mwite pub MPE wine fresh akilainika mvute chemba piga mashine kibingwa kesho yake utashangaa unaitwa bebi
So hapo kazi kwako tu kusugua haswa![]()