Iyo hali inasababishwa na wewe na kweli wamekwisha ona hujui unataka nini, mke ni kwa ajili yako iweje mama na dada ndo wachague?Kila nikiwa na mahusiano lazima dada na mzazi (mama) waniambie mwanamke hanifai na nikimuacha wanaanza kunisengenya kuwa siwezi kuishi na mwanamke.
Hali hii inasababishwa na nini?
Kwa picha ya fasta huenda kalelewa sana na mama wakisaidiana na dadaake pia huenda baba hayupo na kama yupo hakuna mahusiano mazuri baina yao kiasi washauri wakuu wamebaki hao.Isack,
Huwezi fanya maamuzi yako wewe kama mwanaume? Mpaka mama na dada wakupangie, seriously? Unakoelekea utapangiwa mpaka siku za kupiga game na mkeo walaqhi!
Ni kwasababu una matatizo, hujitambui.Kila nikiwa na mahusiano lazima dada na mzazi (mama) waniambie mwanamke hanifai na nikimuacha wanaanza kunisengenya kuwa siwezi kuishi na mwanamke.
Hali hii inasababishwa na nini?
Kwa kifupi tuu wazazi wako sahihi kwa sababu zifuatazoKila nikiwa na mahusiano lazima dada na mzazi (mama) waniambie mwanamke hanifai na nikimuacha wanaanza kunisengenya kuwa siwezi kuishi na mwanamke.
Hali hii inasababishwa na nini?
Next time hebu wapelekee mwanaume maana kama wanasema "mwanamke hakufai", "huwezi kuishi na mwanamke" basi swala liko wazi.Kila nikiwa na mahusiano lazima dada na mzazi (mama) waniambie mwanamke hanifai na nikimuacha wanaanza kunisengenya kuwa siwezi kuishi na mwanamke.
Hali hii inasababishwa na nini?
Ni kwa sababu wewe bado mvulana hujawa mwanaume, siku ukiwa mwanaume kamili basi mama na dada wataacha kuingilia maisha yako binafsi especially mahusionoKila nikiwa na mahusiano lazima dada na mzazi (mama) waniambie mwanamke hanifai na nikimuacha wanaanza kunisengenya kuwa siwezi kuishi na mwanamke.
Hali hii inasababishwa na nini?
HUWA WANAKUPA SABABU KWA NINI HAWAFAI?Kila nikiwa na mahusiano lazima dada na mzazi (mama) waniambie mwanamke hanifai na nikimuacha wanaanza kunisengenya kuwa siwezi kuishi na mwanamke.
Hali hii inasababishwa na nini?
Una miaka mingapi.?.Kila nikiwa na mahusiano lazima dada na mzazi (mama) waniambie mwanamke hanifai na nikimuacha wanaanza kunisengenya kuwa siwezi kuishi na mwanamke.
Hali hii inasababishwa na nini?
Atawekewa ratiba kwa kweliIsack,
Huwezi fanya maamuzi yako wewe kama mwanaume? Mpaka mama na dada wakupangie, seriously? Unakoelekea utapangiwa mpaka siku za kupiga game na mkeo walaqhi!