Kila nikipata mwanamke, dada na mama wanasema hafai

Kila nikipata mwanamke, dada na mama wanasema hafai

Tafuta anaekufaa.
1. Ukiwatambulisha usiombe maoni, onyesha huyo ndio wako na sio kwamba unahitaji maoni bali wao kumjua tu.
2. Usimtambulishe mapema sana kabla hujawa na uhakika, take your time.
3. Pengine wanaona wivu labda utahamisha sapoti kutoka kwao kwenda kwa gf kama wanakutegemea haswa kifedha. Waonyeshe sapoti haitapotea hata ukiwa na gf/wife.
4. Fanya maamuzi yako, jiamulie ni maisha yako.
 
Kila nikiwa na mahusiano lazma dada na mzazi (mama) waniambie mwanamke hanifai na nikimuacha wanaanza kunisengenya kuwa siwezi kuishi na mwanamke.

Hali hii inasababishwa na nini?
Hao dada yako na mama yako itakuwa wana jina la mshindi tayari (wamekuchgulia mke) sasa uwaambie wakupatie jina ilo kosha ukajipigie then ukitoka huko una waambia Waliokuchagulia ww humtaki kwa vigezo vyako. Hapo utakuwa umewamaliza
 
Kila nikiwa na mahusiano lazma dada na mzazi (mama) waniambie mwanamke hanifai na nikimuacha wanaanza kunisengenya kuwa siwezi kuishi na mwanamke.

Hali hii inasababishwa na nini?
Wanataka uendeleee kuwalea,usiishi mbali nao.ila wanachofanya n ubinafsi na roho mbaya,maana utashndwa kuandaaa ukooo wako
 
Kila nikiwa na mahusiano lazma dada na mzazi (mama) waniambie mwanamke hanifai na nikimuacha wanaanza kunisengenya kuwa siwezi kuishi na mwanamke.

Hali hii inasababishwa na nini?
Una umri gani niendelee kuchangia!
 
Haya sasa[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]
 
Kila nikiwa na mahusiano lazma dada na mzazi (mama) waniambie mwanamke hanifai na nikimuacha wanaanza kunisengenya kuwa siwezi kuishi na mwanamke.

Hali hii inasababishwa na nini?

Kaa mbali nao kabisa .unaona yanayo mpata dimondi mbele ya mama yake
 
Waulize kwani mnataka mwanamke wa kwenda kuwanga nae????
 
Hata ukioa wewe hamna ndoa hapo maana itakuwa ndoa ya watu wanne( wewe, mke, mamaako na dadaako)
 
1.mama yako ana mine?
2.dada yako ameolewa au ana mahusiano
Tuanzie hapo kwanza majibu mengine baadae
 
Kila nikiwa na mahusiano lazma dada na mzazi (mama) waniambie mwanamke hanifai na nikimuacha wanaanza kunisengenya kuwa siwezi kuishi na mwanamke.

Hali hii inasababishwa na nini?
Kweli huwezi kuishi na mwanamke
 
Isack,

Huwezi fanya maamuzi yako wewe kama mwanaume? Mpaka mama na dada wakupangie, seriously? Unakoelekea utapangiwa mpaka siku za kupiga game na mkeo walaqhi!
hujampenda kweli huyo mshikaji? comments yako inaonesha mahaba.... mpe neema mshikaji basi bi dada
 
Kila nikiwa na mahusiano lazma dada na mzazi (mama) waniambie mwanamke hanifai na nikimuacha wanaanza kunisengenya kuwa siwezi kuishi na mwanamke.

Hali hii inasababishwa na nini?
Inasababishwa na wewe kutokuwa na msimamo na maamuzi yako over!
 
Kila nikiwa na mahusiano lazma dada na mzazi (mama) waniambie mwanamke hanifai na nikimuacha wanaanza kunisengenya kuwa siwezi kuishi na mwanamke.

Hali hii inasababishwa na nini?
Dada yako anataka umuoe yeye.
Trust me, mjaribu uone
 
Back
Top Bottom