Suala la UFISADI linatumiwa vibaya.
Kwa mawazo yangu, kila mtu ni FISADI kwa sehemu fulani.
Tatizo ni kwamba watu wengi wanauangalia ufisadi kwa viongozi wa ngazi za juu tu.
Kutokana kwa huu mtazamo wangu, hata mimi na wewe ni mafisadi kwa sehemu fulani.
Kinachotofautiana ni kiwango cha ufisadi.
Wanajamii mpo hapo?
Kwa mawazo yangu, kila mtu ni FISADI kwa sehemu fulani.
Tatizo ni kwamba watu wengi wanauangalia ufisadi kwa viongozi wa ngazi za juu tu.
Kutokana kwa huu mtazamo wangu, hata mimi na wewe ni mafisadi kwa sehemu fulani.
Kinachotofautiana ni kiwango cha ufisadi.
Wanajamii mpo hapo?
Last edited: