- Thread starter
- #21
Idda una matatizo ya kimsingi.Ufisadi ni antisocial na ni kinyume na maadili ya jamii.
.
Kinachotakiwa ni kujadili kama kila mtu ni fisadi au la.
Hakuna haja ya kugombana.
Idda una matatizo ya kimsingi.Ufisadi ni antisocial na ni kinyume na maadili ya jamii.
.
Hivi alikuwa anatumia jina gani huyu?Rudi na lile jina lako la zamani...! Umekuja na jina jipya lakini mambo yako yale yale...ya zamani.
kila mtu ni mbakaji, kila wanamke malaya, kila muislamu ni taliban, kila mnigeria mwizi and so on sasa equate that to ur topic...dont generalise!