Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,357
- 12,307
Mtoto wangu wa kike anafanana na Mimi baba ake hata tabia kadhaa naona bado anachukua zangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ndio ukweli.
Uzae mtoto wa kiume au wa kike lazima atafanana na wewe baba yake.
Baba yetu ana watoto karibu 20, na wote kafanana nao kwa sehemu fulani bila kujali jinsia zao.
Mungu ameamua kufanya hivi ili kumpa baba imani zaidi au uhakika na uhalali wa mtoto wake.
Huwezi kuwa na daught juu ya mtoto ni wako au umepigwa chenga .
Mungu alijua wanaume sisi ni watata hatuuvumilii usaliti that's why anaamua hivyo.
Mtoto wa mke wako asipofanana na wewe huyo mtoto si wako bali wa mke wako. Mlee tu ili upate thawabu.
Napata shida yaaani !Naona unataka BABA PAROKO 92 azidi kuchanganyikiwa
Je mtoto akifanana na mama yake utasemaje? Mbona si kweli kuwa lazima watoto wafanane na baba zao. Kuna baba mashujaa walizaa wajinga na wapo wajinga waliozaa wajuzi. Hakuna kanuni hapa ya nani afanane na nani.Huu ndio ukweli.
Uzae mtoto wa kiume au wa kike lazima atafanana na wewe baba yake.
Baba yetu ana watoto karibu 20, na wote kafanana nao kwa sehemu fulani bila kujali jinsia zao.
Mungu ameamua kufanya hivi ili kumpa baba imani zaidi au uhakika na uhalali wa mtoto wake.
Huwezi kuwa na daught juu ya mtoto ni wako au umepigwa chenga .
Mungu alijua wanaume sisi ni watata hatuuvumilii usaliti that's why anaamua hivyo.
Mtoto wa mke wako asipofanana na wewe huyo mtoto si wako bali wa mke wako. Mlee tu ili upate thawabu.
wangu kitu cha kwanza ni blood group kupima kabla ya machoNimefanana copyright na Bibi mzaa mama
Kama ni watata huyo mtoto asie wake atalelewa vipi sasa ?Huu ndio ukweli.
Uzae mtoto wa kiume au wa kike lazima atafanana na wewe baba yake.
Baba yetu ana watoto karibu 20, na wote kafanana nao kwa sehemu fulani bila kujali jinsia zao.
Mungu ameamua kufanya hivi ili kumpa baba imani zaidi au uhakika na uhalali wa mtoto wake.
Huwezi kuwa na daught juu ya mtoto ni wako au umepigwa chenga .
Mungu alijua wanaume sisi ni watata hatuuvumilii usaliti that's why anaamua hivyo.
Mtoto wa mke wako asipofanana na wewe huyo mtoto si wako bali wa mke wako. Mlee tu ili upate thawabu.
Jidanganye kumbe baba ako ndo alipita kwa mkeokwakweli katika hili swala tukiacha unafiki kuna ufahari fulani si kwa mwanaune tu hata kwa mwanamke aliyewazaa,watoto kufanana na baba yao.
mimi nimekua katika familia iliyonilea,walipata mapacha.
wakike alienda kwa baba mpaka rangi,wa kiume akaenda kwa mama mpaka rangi.pale ndipo nilijifunza haya mambo.
mtu akija ghafla akakutana na wa kiume na baba yake atasema wanafanana.ila akija kumwona mama yake anatengua kauli tena,vivyo hivyo na kwa wa kike.nilikuja kugundua baadae wa kiume amefanana na baba yake paji la uso na macho.
mimi binafsi nimekuja kugundua nafanana sana na baba yangu baada ya kupata watoto,wamefanana na babu yao sio kidogo,maana ni vigumu wewe mwenyewe kujifananisha.
ni afadhali kuliko houseboy apite na mkeo,halafu unavimba.Jidanganye kumbe baba ako ndo alipita kwa mkeo
SIYO KWELIIIUkweli mchungu na watu hawautaki.
Usipofanana na mtoto wa mke wako huyo si wako
😂😂😂😂Naona unataka BABA PAROKO 92 azidi kuchanganyikiwa
Talifanyia kazi MkuuYote Tisa kumi Ni alama za mistari kweny viganja vya mkono wa kushoto km Ni ndo MTT wa kwanza kwako na huyo mke uliyezaa nae lazima mistari ya mkono wa kushoto mfanane..Lazimaaaa
Acha kujitetea. Mtoto kwa baadhi ya mambo lazima asadifu kwa baba yake.Je mtoto akifanana na mama yake utasemaje? Mbona si kweli kuwa lazima watoto wafanane na baba zao. Kuna baba mashujaa walizaa wajinga na wapo wajinga waliozaa wajuzi. Hakuna kanuni hapa ya nani afanane na nani.
Ni doubt ndugu.Eti daught,si ungeandika tu kiswahili!