Kila msichana ninaekutana naye ananiambia tayari ana mpenzi

charminglady
Sema hakyamungu alafu ndo kusema umenipotezea mazima au ni hizi MB 8 zinaleta utata?

masai dada
Hakyamama nimekumisi mpaka baioloji imegoma kufanya fiziksi.
 
Last edited by a moderator:
Pambana na wewe uwe "mtu" kuwa mtu si kazi ndogo, fanya kazi kwa bidii kuongeza kipato na kisha uwe unatoa pesa kama "mtu".. hapo utagundua kuwa cha "mtu" huliwa na "mtu"..
 
Asprin
Umenipotezea kitambo nakucheki tu,nitafanya nini nikasema kuna mtu kakutuliza.
 
Last edited by a moderator:
masai dada

Masai dada wakati tunasubiri jibu la hilo swali kutoka kwa muhusika,nadhani tujadili tu generally.

1.Wafupi wangapi wameoa au wana mahusiano na wanaheshimika na wake zao na jamii zao? Ufupi ni ulemavu? na kama ni ulemavu,mtu mfupi anashindwa kutimiza wajibu gani kwenye mahusiano ambao mrefu anaweza?

2.Kwenye suala la kipato nadhani hilo ni suala linalotegemea aina ya wadada anaokutana nao! Je tumefika mahali ambapo hela ndio determinant ya mahusiano kwa wanawake wa makundi yote,wenye elimu,wasio kuwa nayo,waliochelewa kuolewa,wenye kutaka tu starehe na wale ambao bado wanaamini kwenye mapenzi yanayoanza tu bila sababu maalum,wanaoangalia uzuri na urefu,ukati na ufupi?

3.Kwenye kutolea kila kitu judgement kweli binadamu hata hili halirekebishiki liwe kikwazo cha yeye kupata mwanamke? Kuna mwanamke karne hii anatamani mwanaume asiye na sauti na msimamo kwenye na judgement ya maisha binafsi,ya jamii na hata ya nchi yake? kuongea sana ni kiasi gani na too much judgement ikoje?

4.Bajeti kali sana ndio ipi? kwamba mwanamke anachokitaka apewe tu bila kukitolea jasho au hata kujua huyo anayetoa hizo hela ana kiasi gani,ana majukumu kiasi gani na malengo gani mbele yake?

5.Tumeanza na sisi kuangalia brand za nguo na viatu? kwa wanaume wapi hao na wangapi kwenye nchi hii wenye uwezo wa kuvaa brand za uhakika na kunukia manukato ya ubora ambao wanawake wanataka? Hao wanawake wao wanavaa brand gani na kunukia nini? Na ni wangapi kwenye nchi hii wenye uwezo huo?
 
Last edited by a moderator:
masai dada

Mimi na wewe tena,hebu Jumamosi uje Pentagoni tuyamalize kwa kudansi Sikinde ngoma ya ukae. Jiandae.
 
Last edited by a moderator:
Michelle
Naomba kuchangia namba tano. Hivi mtu ananuka jasho kama hajaoga siku tano mi namvumiliaje? Shati lake mwenyewe mpaka akumbushwe kunyoosha. Yani kiufupi hapo ni utanashati tu ndo unafanya mtu akose nafasi wakati mwingine.
 
Last edited by a moderator:
MtamaMchungu
Asante mkuu MtamaMchungu kwa kunichambulia various categories na nimekuelewa vizuri, lakini je kwanini mdada aseme tayari amamtu ilhali hana je ntamgunduaje anayedanganya?
 
Last edited by a moderator:
Michelle

mhhhhhhhhh! wewe unaweza shtua watu mioyo humu where have you been?
 
Last edited by a moderator:
lihema

Sidhani na kunuka jasho na ishu ya kuvaa brands kuna ingiliana, kuna wanaovaa brand na bado wananuka mijasho na wengine hawaogi. Na kunukia sio lazima uvae au utumie manukato yaliyo na majina kivile.

Kuna wanaoogea tu sabuni nzuri na wananukia vizuri. Kuna wanaume wanabadilishika,but kwanza uwaelewe na uwe na nia hiyo ya kuhakikisha wanabadilila,which is a process,sema tu kila mtu anataka Mr Perfect wanapokutana siku hizi.
 
Last edited by a moderator:
Pendael24

Sure mkuu kwa kweli hili hatuna budi wanaume kujilaumu na halina tofauti na swala la mfanyakazi kukaimu zaidi ya position mbili kazini hili linatuzubia riziki.
 
Last edited by a moderator:
Umeamuakujahuku loh afdhaliiii nilijua unakufabila Ndoaa!!!hukuanaesema anaeemtangaziendoa mpwaa
 
Michelle

Okey unajua kwa nini nimeuliza maswali yote hayo?

HAYO MASWALI YANAJIBU LA MWISHO BAADA YA YEYE KUJIBU

Je ni wanawake wa hulka,background na mazingira yapi anaowafata na kutaka kuwaoaje?

1.Upendewa watu wa kimo kipi na wenyewe ni wa kimo kipi hapa namaanisha marafiki wa kawaida kabisa je ni wapi hasa anakua nao ex wake,na kama ulipata wasaa wa kumuona kabla hujaongea lolote kuhusu kumuhitaji ni vyema kujua hayo .

Mbona nyie mnapenda wanawake wenye mkalio makubwa ina maana flatscreen, ni kilema mbona wapo ftat wengi wameolewa na wanadamu usiongelee maumbile maana katika kuchagua nyinyi mnazidi mpaka mnaangalia ukubwa wa jicho hilo swala la umbo kuwa muhalisia.

2.Swala la kipato ni la muhimu unaoa huna hata kibanda cha kukuingizia ela ya kubadili mboga unataka nifanyaje wewe kwa mfano mimi sina kazi na wewe huna utnataka tuishije kwa mfano,katika hili nimezungumzia kipato ili akijibu nimuambie kulingana na type ya wanawake unaowafata kwa kipafo hicho lazima uishie kuitwa shemeji

3Usiseme binadamu sema mwanaume na mwanamke sisi ni asili ila kama mwanaume una gubu ni tatizo
yaani wewe kila kitu tu lazima uongee inakuaje hapo

4,Simaanishi kupewa hela hapana bila kutoa jasho.
Namaanisha hata tukitoka kwenda kula mahali utasema tunatumia sana na yale maneno kidogo ambayo yanaashiria ubahili wa hali ya juu.

5,Vyovyote utakavyovaa ndugu usiniambie kwamva kati ya pair 10 ulizonazo huna brand mbili unapenda mbona kawaida sana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom