Nimefka umri halali kua na atleast mchumba ama mtu wa karibu mwenye na direction ya kuweza kuolewa.Cha kusikitisha kila nikijaribu kujenga ukaribu kwa wadada baada ya muda wananijibu tayari nina mtu.
Ukisubiri uambiwe hana mtu utazeeka mpwa amini kua ilo jibu ni mbwembwe tu kama bondia anavyorukaruka kabla ya pambano ili akutishe wewe komaa ila usimfate mwenye ndoa tu,wanaobakia ni gombania goli kila mtu anaweza kufunga pamoja na wewe pia PAMBANA papuchi sio kama kununua nyanya sokoni ooooh...!
Lawama ni sie wanaume,una kuta mtu ana wanawake wanne na wote kawaidi ndoa na hao wadada wanadhania ni kweli akitokea mtu wa nia ya kweli anakuambia ana mtu wake kumbe ye wa nne inasikitisha sana
Pole sana nitaongea kitu kama kikikuuudhi nisamehe ni tofauti kidogo na mitazamo ya wengi may be ndo tutajua tatizo ni lipi
NAOMBA KUJUA:
1.Je wewe ni mfupi sana?
2.Una kipato cha kati au cha chini au cha juu sana.
3.R.O yako unaona ni ya kati au ndogo sana au juu sana.
4.Unaongea sana kila kitu unakitolea judgement?
4.Je una bajeti kali sana?
5.Unajipenda viatu brand nguo kunukia vyema?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.